Umeota nini?

Tuko boarding tunapigania ndoo za kuogea, halafu nyingi zimepigwa makufuli chini ya vitanda.
ila kukawa na ndoo moja imezubaa ila tukiikimbilia tu mwenye nayo anatokeza from nowhere, halafu tunaiacha.
Tunarudi kutafuta tena baadae tuaniona tena ile ndoo imezubaa....tukiifuata tu, mwenye nayo anatokea from nowhere, yani kama anatutega vile
 
Kuna ndoto naiota huu mwaka wa name hivi. Huwa nikikutana na msichana japo sio wote ambao nakutana nao. Namanisha msichana ambae nakuw attracted nae. Sasa nikilala lazima nimuote either nampiga denda au namtia dole. Nikiwa nampiga denda nasikia harufu mbaya sana mdomoni kwake, ila Ii harufu nakuwa familiar nayo usingizini. Wote ambayo nimejaribu kuwakiss ndotoni Huwa wanaharufu moja. Kichwani nautambua sijui kama umeelewa. .

One time I tried to kiss this girl nikahisi hii harufu japo haikuwa ndotoni, but there was familiarity. Vivyo hivyo nikijarib kuwa finger maviti kama uharo rangi ya uharo yanatoka mbele kwa vagina ila harufu ni Ile Ile. Hichi kitu lilikiwa kinamisumbua sana nikiwa chuo kiasi kuwa nikawa Sina Raha kabisa toka kianze miaka name iliyopota nikiwa chuo. .

Nilikuwa nakosa Raha sana kiasi kwamba siku moja nimawashirikisha washikaji zangu. Lakini wakafanya dhiaka za hapa na pale. Ila over time nachukulia kwamba labda Kuna forces zinanilinda nikae mbali na wasichana naowaota. .

Nawasilisha shukrani kama utaweza nitafsiria maana ya hii ndoto. .
 
Ndoto nyingine Huwa nawaza sijamaliza form six, na Cha ajabu wakati huo huo naota nimemaliza chuo. Kwa ndoto najiuliza nimefikaje chuo wakati sijaua six. .

Ina maana Kuna part au life ya form six nakuwa nimeiruka au naiishi ndotoni. Hii ndoto kwa sasa nimeiota zaidi ya mara nane. Kwenye ndoto nakuwa mzito kusoma na unakuta zimebaki siku mbili mtihani bado nakuwa mgumu kusoma najiambia nitatoboa tu. .

Shida hii ndoto inanisumbua kisaikolojia very bothering. .
 
Nimeota nimepewa ela za T.I(rappa wa marekani) halafu tulikuwa tumekaa naye nakula chipsi....pia kulikuwa na marafiki zangu wa long time toka skuli, tunasalimiana na kula bata. Hiyo ni usiku wa kuamkia leo.
kama umeota leo tu nikawaida aina maana
 
Tuko boarding tunapigania ndoo za kuogea, halafu nyingi zimepigwa makufuli chini ya vitanda.
ila kukawa na ndoo moja imezubaa ila tukiikimbilia tu mwenye nayo anatokeza from nowhere, halafu tunaiacha.
Tunarudi kutafuta tena baadae tuaniona tena ile ndoo imezubaa....tukiifuata tu, mwenye nayo anatokea from nowhere, yani kama anatutega vile
kuna watu unapaswa kujiepushana nao
 
Ndoto nyingine Huwa nawaza sijamaliza form six, na Cha ajabu wakati huo huo naota nimemaliza chuo. Kwa ndoto najiuliza nimefikaje chuo wakati sijaua six. .

Ina maana Kuna part au life ya form six nakuwa nimeiruka au naiishi ndotoni. Hii ndoto kwa sasa nimeiota zaidi ya mara nane. Kwenye ndoto nakuwa mzito kusoma na unakuta zimebaki siku mbili mtihani bado nakuwa mgumu kusoma najiambia nitatoboa tu. .

Shida hii ndoto inanisumbua kisaikolojia very bothering. .
kuna sehemu unapoteza mudaa
 
Back
Top Bottom