Wakuu heshima kwenu aisee nimemkumbuka baba japo alikuwa mkali ila umuhimu wake ulikua mkubwa sana malezi ya mama sasa eeeh atuna budi kufuatisha yale anayo tuambia mama.
- Nyongeza ya mishahara kwa wafanyakazi vipi uko tunaomba mrejesho kote bara na visiwani tujue.
- tozo mbona atuambiwi...
Nahitaji kujua masoko ya soya ya ndani ya nnchi pia mwenye kujua jinsi ya kupata masoko nnje ya nnchi bei ya soya kwa kilo tafadhali ani pm tufanye biashara Mzigo uliopo ni tone 5000
Nampongeza mama kwa hotuba nzuri yenye kuleta tabasamu kwa maisha ya watanzania kwani hotuba yake imejaa maneno ya faraja kwenye maisha ya watanzania hasa sisi wa kipato cha chini mama kagusa sehemu muhimu na nyeti kaona kua sisi wananchi wachini hatuna hela mama kaaidi kuweka mazingira mazuri...
Mimi ni kijana mwanye kiu ya kujikwamua kiuchumi natafuta kazi elimu yangu ni Diploma ya kilimo kwa ujumla yani General Agricultural nimeshaweka thread umu JmiiForums.
Naombeni msaada kazi yoyote halali ata nnje ya taaluma yangu nipo tayari kuifanya kwa weledi wa hali ya juu.
Wakuu heshima kwenu,
Naombeni msaada wa haraka! Bado nipo hospitali ila ningependa kujua ili nibadili hospitali ikiwezekana. Ni siku tatu sasa toka mtoto azaliwe lakini anashindwa kunyonya, tatizo linaweza kuwa nini?
Naombeni msaada kwa wajuzi na wenye hii taaluma.
Sent using Jamii Forums...
Wakuu, kama uzi unavyojieleza hapo juu, napenda kujua umiliki wa DIZZIM naona kabisa kua nayo ina iwekezaji wa Diamond Platniumz ndani yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
wakuu habari zenu
Kama uzi unavyo jieleza apo juu kwa yoyote anae hitaji shamba yapo mawili sehemu moja ila yametenganishwa tu na barabara moja Ni ekari 300 na lingine ni ekari 200 kwa Kila eka moja ni laki mbili na nusu (250000) mashamba yapo sumbawanga eneo zuli kando ya barabara na linafaa...
Naona Kama Clouds wanaongeza mashambulizi zidi ya Mond baada ya Kiba Asley na Mario kushindwa wameamia kwa mmakonde tatizo la Clouds wanakusifia na kukupoteza Harmonize anakosea sana kwa anayo yafanya atapotea tu.
Kwa yoyote aliepo Dar es Salaam na anamiliki shamba sehemu yoyote ile ya Dar na shamba limemshinda kwenye usimamizi
Liwe shamba la mifugo
Au shamba la mazao yoyote yale
Kijana wenu naomba ajira ya usimamizi wa mashamba yenu taaluma yangu ni kilimo na mifugo pia Kama unashamba lenye vijana...
wakuu poleni na majukumu nimeleta uzi huu nikiwa naimani wahusika wapo ambao wanatumia jf
Wilaya ya chunya ni moja ya wilaya kongwe Sana apa nchini lakini chakushangaza hospitali yetu haifanyiwi maboresho yanayo endana na hadhi ya wilaya yetu huduma za hospitali yetu ni mbovu mno wafanyakazi wa...
Wanazengo poleni na majukumu nimemfikiria sana huyu dogo naona anapotea vibaya sana na soon tu tutaanza kumsahau kwani jitihada anazozifanya sidhani kama zitazaa matunda.
Hivi kweli kiburi anachopata kwa hela za ukweni kitamfanya awe juu zaidi ya Mondi? Jibu ni hapana siku tu wakiachana na Sara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.