Baada ya kusoma Sheria watoto wakike wanashindwa kufit kwenye jamii. Ndoa zao ni taabu na nyingi maana wanataka kureason Kila kitu na kupigania 50/50.
Wanakuwa brainwashed kwa kiwango kikubwa na kugeuka watetezi wa lifestyle za ulaya na wanaona Mila na desturi za waafrica ni barabaric na...
Nisiseme mengi Sana.
Sote tuliisifia Kenya kwa kufanya uchaguzi huruma kabisa na matokeo yakatangazwa na ruto akashika nchi peacefully.
Ila maandamano yanayoendelea Kenya pamoja na jinsi mahakama inavyoyaunga mkono na kupelekea nchi kutotawalika inaonyesha kiasi gani ukiiendekeza Sana...
Mathayo 7:13-24
Biblia Habari Njema (BHN)
13. “Ingieni kwa kupitia mlango mwembamba. Kwa maana njia inayoongoza kwenye maangamizi ni pana, na mlango wa kuingilia humo ni mpana; waendao njia hiyo ni wengi.
14. Lakini njia inayoongoza kwenye uhai ni nyembamba, na mlango wa kuingilia humo ni...
Watu wameanza, oh kuondoka kwa GSM ni jambo baya wadhamini wataogopa kujitokeza[emoji3]
Sikilizeni, hakuna mdhamini atakaye ingia mkataba halali na ligi yetu ambaye atasumbuliwa, ila ukiingia mikataba ya hovyo, kwa kujaribu kupita mlango wa nyuma basi jua utapata taabu tu, lakini ukifuata...
Kumekuwa na watu wengi ambao wanaishia maisha ya aina mbili kwa wakati mmoja, mfano unakuta mtu ametoka kufanya uzinzi mchana, then jioni anapost status au post ya kawaida kwenye WhatsApp, FB na inta akiwahimiza watu kuhudhuria ibada ya maombi na akiwa confident kabisa. Unakuta kesho anaenda...
Ukiisikiliza hii ngoma imekaa poa sana kijana kaimba vizuri na beat iko poa sana, na zaidi video yake iko fire sana.
Sometimes unafikiria kama chibu au Harmonize wangepewa hii beat basi wangeweza kufanya kitu zaidi. Ushauri wangu amtafute mmoja wao waikuze zaidi ngoma yake imfikishe mbali...
Sheria: Ukimpa mwanafunzi ujauzito unafungwa miaka 30 ila binti atalea mtoto na Kkma familia inauwezo itampeleka private.
Binti: Kwakuwa sheria hainifungi jela na shule siitaki nafanya yangu hata nikipata ujauzito hakuna shida yoyote atajijua anayenipa hiyo mimba.
Maoni yangu: Sheria...
Aisee leo vimenoga kweli kweli maana mpaka Sasa mapambano ma tatu na yote watanzania tumepoteza 'kihalali kabisa'. Mabondia wa tz Leo Hawako vizuri kabisa
Nafikiri kwa hizi mechi 2 tumethibitisha kwamba uongozi ndani ya kikosi cha Simba umebadilika
First captain: Bocco
Second captain: Chama
Third captain: Kapombe
Ingawa haijathibitishwa na Uongozi wa simba
Hivi walimu wa arts Kiswahili na geography wanaomba primary school au secondary.
Kwangu Mimi nimejaza taarifa zingine sawasawa ila kwenye shule wamekuja kuweka za secondary ingawa kwenye tangazo walionyesha kwamba watu wa Kiswahili na Geography wanatakiwa kuomba primary school, nakosea wapi...
Wakuu naomba Kama kunamtu kashawahi kufanya interview za afisa nyuki; Anisaidie kupata maswali wanayo uliza utumishi. Asante
Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app
Wapenzi wa soka la Italia tutakosa kutazama soka mpaka mwezi wa nne baada ya Waziri Mkuu wa Italy kuisimamisha ligi kutokana na ugonjwa wa Corona. Itakumbukwa kuwa italy ni moja kati ya nchi ambazo ugonjwa huu unaenea kwa kasi sana. Hatujui kuhusu mechi za UEFA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu nilibahatika kufanya interview UDSM mwezi wa Kwanza mwishoni nafasi ya tutorials. Ila bahati mbaya sikuchukua mawasiliano ya wenzangu ambao tulifanya pamoja, hivyo siwezi jua kama walishaita watu kazini ama vinginevyo.
Naomba aliye na taarifa anijuze.
Thanks
Sent using Jamii Forums...
Pamoja na kutwaa mataji yote ya england na kufika robo fainali ya UEFA bado hakuna mchezaji yeyote wa city kwenye kikosi bora cha dunia. Imagine hata benardo hayupo. Cha ajabu unakutana na wachezaji 4 wa Real madrid, timu ambayo haikuwa na msimu mzuri.
Mfano mtu kama marcelo alikuwa anapigwa...
Mwaka huu wa fedha, vyuo vingi vya umma vinaonekana kuto ajili kabisa watu kwenye nafasi za tutorial assistant.
Mwaka jana mwezi wa saba na wa nane vyuo vingi vilitoa chance hizo kwa vijana walio na vigezo. Lakini mwaka huu vyuo viwili tu ambavyo ni MUCE na Mzumbe vimetoa kazi lakini kazi hizo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.