Sheria na mimba kwa wanafunzi ingetafuta namna ya kubana pande zote

The real Daniel

JF-Expert Member
Jan 5, 2017
2,117
7,817
Sheria: Ukimpa mwanafunzi ujauzito unafungwa miaka 30 ila binti atalea mtoto na Kkma familia inauwezo itampeleka private.

Binti: Kwakuwa sheria hainifungi jela na shule siitaki nafanya yangu hata nikipata ujauzito hakuna shida yoyote atajijua anayenipa hiyo mimba.

Maoni yangu: Sheria ingetafuta namna ya kubana pande zote ikiwezekana mwanamke naye awe na adhabu ya kwenda jera kwa kipindi fulani na siyo kumpa adhabu mwanaume tu.

Cha ajabu wazee wa haki za binadamu wanataka mwanamke azidi kupewa Uhuru zaidi wa kushika mimba muda wowote, kuzaa na kurudi shule.



View attachment 1718885
 
Mzee hizi kesi za wanafunzi kupewa mimba zisikie tu, yaani hata kama hujabaka ila ukimpa mwanafunzi mimbaa awe mkubwa au mdogo kesi ikifka mahakamani umekwishaaa, hawaangalii mara mbili
*Mwanafunzi Darasa la kwanza hadi Form 6 Kesi
*Chini ya 18 kesi
 
Hivi ni nani aliyeset umri wa mtoto kuwa mtu akiwa mwanafunzi basi anaitwa mtoto?!

Kimtazamo kwangu naona hapa hizi sheria na huu utaratibu kwa ujumla unalenga kuvuruga au kuingilia asili ya mwanadamu.

Unapopingana na nature tegemea maumivu. Sasa binti akishavunja ungo unataka afanyeje sasa?! Mwili unamtaka afanye yake ila sheria inamwambia hapana wewe haupo tayari unatakiwa usubirie.

Halafu wanaendelea na maisha ya kuigiza huku wanameza P2 na kutoa ujauzito kila uchao kisha hayo yanaendelea hadi binti anapofikia umri mkubwa ghafla jamii inamgeuka inaacha kumwita mtoto inamwita mwanamke tena mzee aliyechelewa maisha.

Umri unakwenda hakuna wa kuishi nae matokeo yake anakuwa single huku ana mingle na wanaume mbali mbali hadi anafikia miaka 30 jamii inaanza tena mnyooshea vidole kuwa hafai hana vigezo amechelewa wapi kwann yupo single.

Na mfano ikatokea akapata mtoto then ghafla jamii inamuona hafai hana mbele wala nyuma....

So technically kuna tatizo kubwa hapa naliona na tunahitaji mtazamo upya juu ya maisha ya vijana especially mtoto wa kike....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi ni nani aliyeset umri wa mtoto kuwa mtu akiwa mwanafunzi basi anaitwa mtoto?!

Kimtazamo kwangu naona hapa hizi sheria na huu utaratibu kwa ujumla unalenga kuvuruga au kuingilia asili ya mwanadamu.

Unapopingana na nature tegemea maumivu. Sasa binti akishavunja ungo unataka afanyeje sasa?! Mwili unamtaka afanye yake ila sheria inamwambia hapana wewe haupo tayari unatakiwa usubirie.

Halafu wanaendelea na maisha ya kuigiza huku wanameza P2 na kutoa ujauzito kila uchao kisha hayo yanaendelea hadi binti anapofikia umri mkubwa ghafla jamii inamgeuka inaacha kumwita mtoto inamwita mwanamke tena mzee aliyechelewa maisha.

Umri unakwenda hakuna wa kuishi nae matokeo yake anakuwa single huku ana mingle na wanaume mbali mbali hadi anafikia miaka 30 jamii inaanza tena mnyooshea vidole kuwa hafai hana vigezo amechelewa wapi kwann yupo single.

Na mfano ikatokea akapata mtoto then ghafla jamii inamuona hafai hana mbele wala nyuma....

So technically kuna tatizo kubwa hapa naliona na tunahitaji mtazamo upya juu ya maisha ya vijana especially mtoto wa kike....

Sent using Jamii Forums mobile app
Exactly. Kuna kitu hakipo sawa hapa.
 
Wengi wanajificha kwenye kichaka Cha kwamba wanafunzi wanapata mimba kwa sababu ya kubakwa.
Ni kweli kwamba kuna baadhi ya kesi kweli unakuta binti kabakwa .
LAKINI ukweli ni kwamba kesi za ubakakaji halisi hazifiki hata asilimia tano.

Wengi wanapata kwa kushiriki ngono kwa hiyari au kupenda, kwasababu wanajua sheria inawalinda hata wakiharibu kazi
 
Siku dunia ikistaarabika hizi sheria zinazopingana na nature zote zitafutwa.Kuzaa ni nature,viumbe vyote vipo huru kujamiiana kasoro binadamu kisa anataka makuu.Mungu atawahukumu wote wanaofunga wenzao miaka 30 kisa shule(mungu kakataza kuhukumu, bali yeye tu).
Naunga mkono sheria kwa wanaobaka ila wanaokubaliana kujamiiana na umri unaruhusu ni kinyume cha haki za binadamu.
Unamdhulumu mwenzio asijamiiane huku wewe usiku upo kuvunja chaga, mambo ya ajabu kabisa! Matokeo yake vijana wanaanza kupiga punyeto ambayo huwaangamiza zaidi au huingiliana kinyume na maumbile..
Nature ilitakiwa iamue yenyewe, mwambieni mungu basi aongeze muda wa kuvunja ungo na kubalehe ili mtimize matamanio yenu.
 
Mpaka tutakapojitambua
Screenshot_20210310-122531.jpg
 
Hivi ni nani aliyeset umri wa mtoto kuwa mtu akiwa mwanafunzi basi anaitwa mtoto?!

Kimtazamo kwangu naona hapa hizi sheria na huu utaratibu kwa ujumla unalenga kuvuruga au kuingilia asili ya mwanadamu.

Unapopingana na nature tegemea maumivu. Sasa binti akishavunja ungo unataka afanyeje sasa?! Mwili unamtaka afanye yake ila sheria inamwambia hapana wewe haupo tayari unatakiwa usubirie.

Halafu wanaendelea na maisha ya kuigiza huku wanameza P2 na kutoa ujauzito kila uchao kisha hayo yanaendelea hadi binti anapofikia umri mkubwa ghafla jamii inamgeuka inaacha kumwita mtoto inamwita mwanamke tena mzee aliyechelewa maisha.

Umri unakwenda hakuna wa kuishi nae matokeo yake anakuwa single huku ana mingle na wanaume mbali mbali hadi anafikia miaka 30 jamii inaanza tena mnyooshea vidole kuwa hafai hana vigezo amechelewa wapi kwann yupo single.

Na mfano ikatokea akapata mtoto then ghafla jamii inamuona hafai hana mbele wala nyuma....

So technically kuna tatizo kubwa hapa naliona na tunahitaji mtazamo upya juu ya maisha ya vijana especially mtoto wa kike....

Sent using Jamii Forums mobile app
100%
 
Siku dunia ikistaarabika hizi sheria zinazopingana na nature zote zitafutwa.Kuzaa ni nature,viumbe vyote vipo huru kujamiiana kasoro binadamu kisa anataka makuu.Mungu atawahukumu wote wanaofunga wenzao miaka 30 kisa shule(mungu kakataza kuhukumu, bali yeye tu).
Naunga mkono sheria kwa wanaobaka ila wanaokubaliana kujamiiana na umri unaruhusu ni kinyume cha haki za binadamu.
Unamdhulumu mwenzio asijamiiane huku wewe usiku upo kuvunja chaga, mambo ya ajabu kabisa! Matokeo yake vijana wanaanza kupiga punyeto ambayo huwaangamiza zaidi au huingiliana kinyume na maumbile..
Nature ilitakiwa iamue yenyewe, mwambieni mungu basi aongeze muda wa kuvunja ungo na kubalehe ili mtimize matamanio yenu.
Unapinga kubaka huku wakati huo huo unakataa sheria zinazozuia ubakaji! — uko sawa kweli?

Wewe upo tayari kuona katoto chako cha kike kanaingiziwa uume na kuharibiwa na lijitu tu fyatu? - wengine mpaka wanalawitiwa!

Ati nature! Hiyo nature ndio inakufundisha kulawiti watoto wadogo?

Malaya wote hawa mjini umeshindwa kuwafuata, unakimbilia kulawiti vitoto vya shule! halafu unasingizia nature! — Kichwa kama nature!

Aiseee, i wish i could be IGP nianze na nyinyi mafirauni wa aina yako!
 
Back
Top Bottom