Husika na mada tajwa hapo juu,
Mimi ni mtumishi katika Secta Binafsi hapa nchini Tanzania.
Katika utumishi wangu nimefanikiwa kujichanga mpaka kufikia million 50. Hizi pesa ziko kwenye account bank lakini naona zimekaa tu nazidokoa dokoa ila kwa sasa natafuta taasisi gani ya Kifedha mfano hizi...
Habari za mchana wadau wa JamiiForums
Kama kichwa cha habri kinavyoeleza, ningependa kupatiwa ufafanuzi katika hili jambo. Leo asubuhi nimeenda hospital ya agakhan pale makao makuu karibu na bahari kwa wale wanaojua raman ya Dsm,na lengo ni kupata huduma ya matibabu nikitumia bima ya afya. Mimi...
Wadau wa JF,
Niwasalimu. Amani ya Mungu iwe nanyi.
Moja kwa moja Kwenye mada. Nimebahatika kuitwa Kwenye usaili kupitia Secretariate ya Utumishi wa Umma pale DUCE. Post ni Customs Officer.
Kimsingi walioitwa ni watu wa fani mbalimbali kama Law, Uhasibu, Uchumi, Taxation, Customs.
Kwa wale...
Wanajanzi habari za asubuhi. Ni matumain yangu kuwa wote mko salama kwa wale wagonjwa nawapa pole sana na mwenyezi Mungu atawaponya,sambamba na kauli tata za waziri jafo tuwe wavumilivu.
Naomba niende kwenye mada kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Kuna nyumba inauzwa mkoa wa Mwanza sasa bei...
Ni zaidi ya miezi 2 na nusu tangu ufanyike usaili wa mahojiano kwenye nafasi mbali mbali zilizotangazwa na tanapa. Je watu wameshaitwa kazin? Wenye update zozote atujuze
Habari za asubuhi mabibi na mabwana. Kichwa cha hbr cha husika.
Naombeni msaada, usiku wa kuamkia Leo kuna jambo limenitokea ambalo nashindwa kbsa kulielewa japo sio Mara ya kwanza ni Mara ya pili sasa. Jambo lenyewe liko hivi
Usiku nimeota kuwa nimebeba mimba yaani ni mjamzito tena cha...
Moja kwa moja kwenye mada
Nakumbuka nikiwa shule ya msingi miaka hyo ya 1999,ilikuwa baada ya mitihani ya kumaliza muhula tulikuwa tunaambiwa tulete sanaa zetu tulizo buni kwa lengo la kuongezewa marks kwenye kutafuta wastan wa jumla. Kimsingi tulikuwa tunapeleka vitu kama mwiko wa kupikia ambao...
Taasisi zifuatazo zilitangaza nafasi za kazi ni zaidi ya miezi mitatu sasa binafsi sijapta taarifa zozote kuhusu usaili. Mwenye taarifa zozote atujuze isiwe tunasubiria usafiri kumbe chombo cha usafiri kilisha pita.
1. Ofisi ya waziri mkuu walitoa internship post mbali mbali
2. Shirika la...
Habari za jioni wanajf ni matumain yngu kuwa wazima wa afya.
Kama mada inavyojieleza hapo juu niko hapa naangalia ITV kipindi cha malumbano ya hoja mada ikihusu shule za serikali kufanya vibaya,nini kifanyike.
Kumekuwa na michango tofauti ya nini kifanyike. Binafsi nimekuwa na mtazamo wangu...
Ningependa kujua wafuatao walikuwa watumishi wa umma wako wapi
1.Alikuwa kamishna TRA makontena ya bandari yakamtoa kwenye system
2. Edward Hosea takukuru
3.Felix wa Ewura
4.Engineer wa tanesco alikuwa mkurugenzi jina limenitoka
5.Aliyekuwa anatangaza watu kutumbuliwa pale ikulu naye...
Katika tasnia ya habri hasa watangazaji ambao sauti zao zinanipa shauku ya kuendelea kuwasikilza wakiwa wanatangaza ni hawa
1.Mabere Makubi ITV
2.Chase Hillary Azam TV
Tupia na wa kwako ambao sauti zao zinakuburudisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Tangu nimehitimu darasa la saba miaka kadhaa iliyopta mpka leo hii sijawahi kusikia hii mitihani ikifanyika siku tofauti na JUMATANO japo tarehe ni tofauti lakini ni cku ya j5 tu ingawa miaka ya hivi karibu hii mitihani inafanyika kwa mda wa cku 2 tofauti na miaka ya nyuma. Mwenye kuelewa...
Habari za humu wana jf samahani kwa mwenye taarifa zozote kuhusu kazi zilizo tangazwa na EWURA mwaka jana mwezi wa kumi na deadline ilikuwa ni 15th November 2017 kazi zilitangazwa kwenye zones mbalimbali kama udereva uhasibu watunza kumbukumbu nk. Mwenye update zozote atujulishe...
Kama kawaida nadhani ile tarehe ambayo Mh Angel Kairuki alitangaza kuwa ndo siku ya mwisho kuwafukuza kazi watumishi wasio na vyeti halisi ni leo.
Sasa nasubiri kauli nyingine tena kama kuongezewa muda, uhakiki wa mara ya mwisho, kutuma wataalam wakusanye vyeti n.k. Haya yote ndo tutajua changa...
Nimemsikia afisa habari wa tff kuwa Serengeti Boys wataenda muhimbili kupimwa umri ndo mara yngu ya kwnza kuliskia hili binafsi labda ndo sabbu ya kushangaa wale wataalam wa afya ya binadam tupeni ufafanuzi linafanyka vp
Nimekaa na kufakari kidogo na kujiuliza,
Tatizo liko wapi hasa linapofika swala la kuoa au kuolewa. Je ni kwamba wanaume hawataki kuoa au wanawake hawataki kuolewa.
Wataalam karibuni.
Nilikuwa nafuatilia mubashara historia ya Jenerali Mwamunyange kuwa ametumikia jeshi kwa miaka 45 hadi kustaafu.
Kwa mujibu wa sheria mwisho wa utumishi wa umma ni miaka 60, sasa najiuliza mkuu alijiunga jeshi akiwa ana miaka mingapi?
Nikiwa ndani ya daladala ilisikika sim ya jamaa mmoja ikiita huku akitumia wimbo wa taifa kama ringtone ikiwa sim inaita basi jamaa akapokea sim. Kabla hata hajamaliza kuongea mjadala ukaanza ,yakazuka makundi mawili moja linadai ni matumizi mabaya ya wimbo wa taifa na nikutokuheshmu alama za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.