Nini hasa tatizo katika kuoa na kuolewa?

Nini hasa tatizo katika kuoa na kuolewa?

faru john junior

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2016
Posts
1,596
Reaction score
1,725
Nimekaa na kufakari kidogo na kujiuliza,

Tatizo liko wapi hasa linapofika swala la kuoa au kuolewa. Je ni kwamba wanaume hawataki kuoa au wanawake hawataki kuolewa.

Wataalam karibuni.
 
Tatizo pesa
14547677_866065283496178_7613832888059953152_n.jpg
 
I once married the love of my life...the world z nt fair thou. [emoji24]
 
Wanaume wengi hawako teyari kuoa!

Mwanaume akiamua anaoa hata kesho tu, mwanamke hana uamuzi huo
 
Kuoa na kuolewa wabd ufikilie mara mbili na moyo wako uwe open kuna watu wanahela zaid ya baba yako hawajaoaa na benk wana 100 mil ,sasa wewe na 2 milion zako unakimbiliaa kuoa jipange kwanza kimaishaa ondoaa shida iliukiingiaa utimize majukumu ya familia usioe kisa mtu fulan kaoaa au usioe kisa umri unaendaa
 
Kuoa na kuolewa wabd ufikilie mara mbili na moyo wako uwe open kuna watu wanahela zaid ya baba yako hawajaoaa na benk wana 100 mil ,sasa wewe na 2 milion zako unakimbiliaa kuoa jipange kwanza kimaishaa ondoaa shida iliukiingiaa utimize majukumu ya familia usioe kisa mtu fulan kaoaa au usioe kisa umri unaendaa
 
Wanaume wengi hawako teyari kuoa!

Mwanaume akiamua anaoa hata kesho tu, mwanamke hana uamuzi huo
Subutuu wako wanaume wanatfta wakuoa wanakataliwa na wako wanawake wana msusuru wa waleta mahari kwao..
 
Back
Top Bottom