faru john junior
JF-Expert Member
- Dec 26, 2016
- 1,596
- 1,725
Mtajwa hapo juu alikuwa msanii wa kaole sanaa group mbona simsikii yupo kweli?
Ooooooh du ni kweli nimekumbka da jf raha sana zaidi ya GoogleYupo kwa Trump ni mtangazaji wa shirika la utangazaji la Marekani -Voice of America (VOA) katika idhaa ya Kiswahili
Hebu weka picha yake tumuone mkuu
anhaa kumbe ndio huyu![]()
from left: Idd ligongo, Julius Nyaisanga na Betty Mkwasa
enzi za ITV.
ndio huyoanhaa kumbe ndio huyu
asante kwa ukumbushondio huyo
Tanzania inakuwaje mpaka tunajuana tunaopata ulaji au tusiofunga zipu.Nchi ni ndogo au umbea umezidiAnakuja sana bongo..amenawiri..tatizo ulabu..all in all ana maisha mazuri..Masters ..kila LA hero!
Usidanganyike na fake IDs mkuu..watu ni wale wale..Tanzania inakuwaje mpaka tunajuana tunaopata ulaji au tusiofunga zipu.Nchi ni ndogo au umbea umezidi
karibuasante kwa ukumbusho
Betty anahangaika na uso tu!![]()
from left: Idd ligongo, Julius Nyaisanga na Betty Mkwasa
enzi za ITV.
Biko, kipindi hicho tunakula mapema tuinjoi mchezo.Ni kweli kwamba huyo jamaa alipokuwa Kaole alikunywa sumu kwa kukataliwa penzi na Norah? Nasikia ndiyo sababu ya kuondoka Kaole alipopona.