faru john junior
JF-Expert Member
- Dec 26, 2016
- 1,596
- 1,717
Habari za humu wana jf samahani kwa mwenye taarifa zozote kuhusu kazi zilizo tangazwa na EWURA mwaka jana mwezi wa kumi na deadline ilikuwa ni 15th November 2017 kazi zilitangazwa kwenye zones mbalimbali kama udereva uhasibu watunza kumbukumbu nk. Mwenye update zozote atujulishe
Asanteni sana
Sent using Nokia torch
Sent using Jamii Forums mobile app
Asanteni sana
Sent using Nokia torch
Sent using Jamii Forums mobile app