Hello,
I am wondering what is the average monthly salary for developer/software engineer in Tanzania? Junior/Senior levels?
Je mshahara wa programa wa kompyuta ni kiasi gani kwa mwezi? wastani.
asanteni
Nimekuwa nawaza kuweka App ambayo itasaidia watumiaji wa mwendokasi kujua gari liko wapi, ila sijui hata kama wanao hizo data, na kama wanazo mtu napataje hizo data?
Mchango wowote unakaribishwa
Habari,
Nafikiria kumfungulia mdogo wangu biashara ya Bajaji ili apate kitu cha kufanya ila sijui biashara hiyo sana.
Je, biashara ya kuendesha Bajaji inalipa? Kwa siku mtu anaweza pata kiasi gani?
Bei ya Bajaji mpya kiasi gani? Iliyo tumika kiasi gani?
Kingi chochote nijue?
Asante sana
Je wajua tofauti ya matokeo ya kidato cha nne kati ya hizi shule mbile za juu zaidi tanzania
Pata uchambuzi hapa -
St Francis - St. Francis Girls Secondary School information and analysis
Marian girls - Marian Girls Secondary School information and analysis
pata zaidi ya matokeo, pata...
I have been wondering about the way NECTA gives schools their number
Do the P or S before a school means something? If so what do these two letters mean?
Is there other letters used in front of school number ?
see necta result page here with school number start with either P or S ? -...
Habari ndugu msomaji wa tovuti yako pendwa, Leo kuna habari nzuri ambayo nahitaji kukushirikisha leo hapa hapa.
Habari yenyewe inaihusu Application ambayo sasa hivi umerahisishiwa zaidi na unaweza kusikiliza Kipindi chochote cha redio unachokipenda kutoka katika redio yoyote ambayo unaipenda...
Hello me and my friends are wondering what is a best place to get swahili songs, old and new ones?
Mimi na rafiki yangu, tunataka kujua sehemu gani tunaweza pata nyimbo za kiswahili, bongofleva, taarabu au dini?
Note: Najua google itanipa jibu ila nataka tovuti ambayo inatoa nyimbo kila siku...
Pata uchambuzi wa jinsi gani wanafunzi wanafanya kwenye matokeo ya form four kutoka matokeo dot co
Pia ukiwa hapo angalia jinsi wanafunzi wanavyo ongezeka pamoja na namba ya shule zikiongezeka
Me and my team have been working tireless to fix what we see is NECTA lack of will to embrace new technology and make it easier for students to see their exam results.
We have built a platform that takes data from NECTA and present it in a much better form.
Angalia -- Bombo Secondary...
The Matokeo ProjectA data driven approach to improving education in TanzaniaHow many schools in Singida offer Mansory? Do subject offerings reflect the needed skill sets for a given region? These and many other questions around education in Tanzania are what our team set out to answer. The best...
The Matokeo Project
A data driven approach to improving education in Tanzania
How many schools in Singida offer Mansory? Do subject offerings reflect the needed skill sets for a given region? These and many other questions around education in Tanzania are what our team set out to answer. The...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.