Search results

  1. Stevemike

    Tetesi: Kangi Lugola Amewekewa Pingamizi

    Kuna tetesi kuwa mbunge wa jimbo la Mwibara anayetetea nafasi yake kwa tiketi ya ccm mh. Kangi Lugola amewekewa pingamizi ingawa ameshinda kwa kishindo kikubwa sana kura za maoni. kama kuna mtu anayejua kwa undani zaidi atujuze wana jf.
  2. Stevemike

    Nani Ana Haki Hapa?

    Waumimi wa dhehebu A(jina limehifadhiwa) walijenga jengo la ibada kwenye kiwanja cha mmoja wa waumini. imefikia hatua wameamua wote kuhamia dhehebu (b) akiwemo na mwenye kiwanja. Viongozi wa juu wa dhehebu (a) wanadai kama wamebadili dhehebu watoke kwenye jengo hilo maana ni mali ya dhehebu...
  3. Stevemike

    Mwana mpotevu nimerudi jamani

    Tokea kipindi cha mjadala wetu wa babu wa Loliondo, nimekuwa kimya sana mpaka leo hii nimeamua kurudi JF. Mnanipokea? Nawakumbuka watu kama miss judith. jamani mpooo?
  4. Stevemike

    Mechi ya Kilimanjaro Stars dhidi ya Harambee Stars ni saa ngapi?

    Tangu jana wapenzi wa mpira tulijua mechi hii inachezwa saa nane kamili. Mpaka sasa hatuoni kinachoendelea. Utachezwa muda gani? Mnisaidie ndugu zangu.
  5. Stevemike

    "Abiria chunga mzigo wako" hii kweli ni kazi ya abiria?

    Ukiingia ndani ya basi unaweza ukakutana na maandishi, "abiria chunga mzigo wako". Na katika tiketi pia utakutana na mwandishi hayohayo na wanaongeza kuwa kampuni haitahusika na upotevu wowote wa mzigo. Nauliza, hii kweli ni kazi ya abiria? Vipi juu ya mizigo iliwekwa na konda kwenye buti? Mzigo...
  6. Stevemike

    Tiba gani inahitajika hapa?

    Mke wangu ni mgonjwa wa jicho. Linauma tu halitoi matongotongo ile ni jekundu kwa juu. Ametumia Gentamycine eye drop na prednisolone eye drop lakini hajapata unafuu. Tiba gani inahitajika?
  7. Stevemike

    Solar watts ngapi inaweza kuendesha vyombo hivi?

    Ktk kanisa letu tuna vyombo vya muziki, Power mixer wtts 300, speaker 4, moja watts 400 kila moja, keyboard na vingine vidogovidogo. Je, ni solar watts ngapi inaweza kuendesha vyombo kwa muda mrefu.
  8. Stevemike

    Swala la waislamu kuchinja ni la kisheria au ni ustaaarabu tu?

    Katika biashara ya nyama ni kawaida waislamu ndio wamepewa jukumu la kuchinja na bila muislamu kuchinja nyama hiyo ni kama hairuhusiwi kuuzwa. Hili limeleta mtafaruku hivi majuzi kati ya muuza nyama na muislamu mmoja baada ya muuza nyama kuchinja mwenyewe na huyo muislamu akataka hiyo nyama...
  9. Stevemike

    Hawa wameingiaje sekondari?

    Waja JF mnisaidie. Kama siku mbili zimepita nilisikia magazetini kuwa mkoa fulani wamepatikana wanafunzi wengi wa shule za sekondari hawajui kusoma na kuandika. Hivi, wamefikaje sec.? Mtihani wa darasa la 7 walifaulu kwa njia ipi. Hainingii akilini ndugu zangu.
  10. Stevemike

    Teknolojia ya TBC hakika iko chini

    Jana nilitoa kero zangu dhidi ya TBC1 na leo wanaotazama taarifa ya habari ya saa 2.00 usiku mmejionea wenyewe. Taarifa inasomwa badala ya kuletewa picha inayohusiana na tukio, linakuja advertisement kisha wanajichanganya na kutulia kama dk 5 kabla ya kuendelea. What's the problem? Is it poor...
  11. Stevemike

    Hizi kero za Airtel zitakwisha lini?

    Mimi ni mteja wa Airtel kwa muda mrefu sasa tangu wakati wa celtel. Kuna mambo yanayonikera sana. Ukipiga simu wakati mwingine unaambiwa salio lako halitoshelezi hata kama una salio la tsh.1000. Au ukimpigia mtu unaambiwa namba unayopiga haipo. Wakati mwingine ukimpigia mtu, wewe mpigiaji...
  12. Stevemike

    Amefufuka kweli? Au maneno tu!

    Jana nikuwa jijini Mwanza nikapita viwanja vya furahisha nikaona matangazo na maandalizi ya mahubiri yatakayoanza j'tano. Kilichonivutia ni kwamba nikaona picha ya binti anayedaiwa kuwa alikufa na sasa amefufuka kwa maombi. Nauliza, hizi habari ni kweli au ni uzushi tu?
  13. Stevemike

    Babu wa loloindo anaendelea kugawa vikombe?

    Muda sasa umepita mrefu kidogo bila kusikia habari za babu! Hivi, anaendelea kugawa vikombe? Na kwa nini hasikiki kwenye vyombo vya habari siku hizi kama zamani?
  14. Stevemike

    Mashindano ya umiss yanafaida kwa nchi yetu

    Katika miaka ya hivi karibuni mashindano ya umiss yamekuwa maarufu sana kuliko zamani. Makampuni mbalimbali wamekuwa wakidhamini mashindano haya kwa fedha nyingi sana. Waheshimiwa wengi wamekuwa wakihudhuria sana kushuhudia mashindano haya! Hivi, jamii au taifa inafaidikaje na haya mashindano...
  15. Stevemike

    Hivi, dunia ilikwisha jana au?

    Nilisikia mapema kuwa dunia ingeisha tr 21/05/2011. Nimejisahau nikajikuta nimefika tr 22. Naomba mniambie kilichotokea jana. Dunia iliisha jana? Nataka ukweli ili nichunguze mahala nilipo na nijue la kufanya.
  16. Stevemike

    Pepo awakaribisha watu kwa babu, Makubwaa

    Kuna jambo nimelishuhudia jana jioni nikashangaa. Mchungaji mmoja na waombaji wenzake walikuwa wanamuombea binti aliyepagawa mapepo nikasikia pepo linasema hivi, 'JAMANI KARIBUNI LOLIONDO KWA BABU MPATE KIKOMBE, HALAFU WEWE MCH. UNAMPINGA SANA BABU, WENZAKO WANAKUJA. KWA NINI? UNAJIFANYA UNA...
  17. Stevemike

    Vita kati ya waislamu na wakristo Misri, wanaoanza uchokozi ni akina nani?

    Sio mara ya kwanza nasikia wakristo na waislamu wanapigana kule Misri. Makanisa yanachomwa moto ingawa sijasikia msikiti umechomwa moto! Sasa ndugu zangu, huko Misri wanaoanza kuwachokoza wenzao ni akina nani? Ni wakristo au waislamu? Na chanzo cha vita hivi ni nini?
  18. Stevemike

    Hapa babu amenichanganya. Anahamia sehemu nyingine!

    Kama sijasahau tu, babu alipoanza kutoa tiba, wengi walimshauri atoke pale aende mahali palipo na miundombinu safi ili iwe rahisi kwa watu kufika bila shida na kupata mahitaji yao bila shida, lakini babu alidai Mungu amemwambia akae palepale na akitoka pale, ile dawa haitafanya kazi. Leo...
  19. Stevemike

    Sababu za mwili wa Osama kutoonekana baada ya kuuawa

    Kama mnavyojua, CIA inaongoza kwa upelelezi na kuwa na siri duniani. US hawakuwapasha Pakistan habari ya uvamizi, hakuna mwandishi wa habari aliyejulishwa ili kujiandaa kuchukua picha ili kutovujisha siri, muda uliotumika ulikuwa mfupi sana kiasi kwamba wasingesubiri wachukua picha waje. Hii...
  20. Stevemike

    Naomba utofauti kati ya cc na bcc unapo compose email.

    Kuna kitu kimekuwa kikinichanganya sana wakati wa kutuma email. To:hapa ni mahali pa kujaza email add ya yule unayemwandikia. Cc: tangu zamani ni sehemu ya kujaza add ya mtumd email. Sasa ,Bcc: tunajazapo nini? kabla haujafika kwenye subject na msg. Naomba ufafanuzi ndugu zangu.
Back
Top Bottom