Stevemike
Senior Member
- Mar 12, 2011
- 117
- 15
Mimi ni mteja wa Airtel kwa muda mrefu sasa tangu wakati wa celtel. Kuna mambo yanayonikera sana. Ukipiga simu wakati mwingine unaambiwa salio lako halitoshelezi hata kama una salio la tsh.1000. Au ukimpigia mtu unaambiwa namba unayopiga haipo. Wakati mwingine ukimpigia mtu, wewe mpigiaji unasikia kabisa simu inaita. Lakini anayepigiwa simu yake haiiti imetulia tu. Network nayo ni problem. Hizi kero zitakwisha lini? Au nihame!