Stevemike
Senior Member
- Mar 12, 2011
- 117
- 15
Waumimi wa dhehebu A(jina limehifadhiwa) walijenga jengo la ibada kwenye kiwanja cha mmoja wa waumini. imefikia hatua wameamua wote kuhamia dhehebu (b) akiwemo na mwenye kiwanja.
Viongozi wa juu wa dhehebu (a) wanadai kama wamebadili dhehebu watoke kwenye jengo hilo maana ni mali ya dhehebu (a). waumini wamegoma wakidai dhehebu (a) hawana haki na jengo hilo. nani ana haki na jengo hili kisheria?
Viongozi wa juu wa dhehebu (a) wanadai kama wamebadili dhehebu watoke kwenye jengo hilo maana ni mali ya dhehebu (a). waumini wamegoma wakidai dhehebu (a) hawana haki na jengo hilo. nani ana haki na jengo hili kisheria?