Habari za Muda huu wakuu,
Wengi wameandika kuhusu AI, ila na mimi ningependa kutia neno kidogo lakini katika angle ya baishara, kama title inavosema "Unlocking Business Potential through Artificial Intelligence: A Comprehensive Guide, kwa tafsi isiyo rasmi sana "Kufungua Uwezo wa Biashara...
"I have learned over the years if you want the best talents, stop looking for perfection, it does not exist. Resumes don't perform jobs. It's people. So hire people, not resumes!"
--Brigette Hyacinth
Tafsiri ya kawaida.
"Nimejifunza kwa muda sasa ya kwamba, kama unahitaji talent bora zaidi...
Ushidani ni rahisi ukijua competitive advantage ya mwenzio na ukaamua kufanya kama yeye au zaidi yake. Ila nime elezea kwa suala la ATCL kupewa muda. Its just 5 years sasa, kuna Giants company za usafiri wa anga hazikuanza jana, ila baada ya muda zilianza ku make profit.
Habarini za wakati huu.
Leo Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za serikali C.A.G, ametoa Taarifa yake na kukabidhi kwa Mh. Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hasan. Katika taarifa hiyo imeonesha hasara ya Tsh. 60 Billion zilizo sababishwa na shirika letu la ndege la ATCL...
Unaweza kuwa sahihi kwa mtazamo wako Chief, lakini let's get it straight from the Bible. Je, Biblia inasema "kufungamana kiroho" kama ulivyo mtazamo wako, au kuwekewa alama/chapa? Alama kwenye paji la uso na alama kwenye mkono wa kuume. Issue kubwa hapa ni Alama.
Am not trying to be religious...
Habarini wakuu wa jukwaa hili.
Leo nimeona ni vema tushirikishane machache kuhusu COVID-19 lakini hasa kuihusu chanjo na maandalizi ya kumtawala binadamu.
Hivi karibuni kwenye mahojiano na Reddit Bill Gates alisema kwamba “digital certificates” zitatumika kubaini ni nani aliyepokea chanjo ya...
Habarini za wakati huu.
Wakuu naomba kujua, hivi ni katika kitu hasa sisi kama taifa tunaweza kuwategemea wasomi wa nchii hii kutuvusha salama na kutupatia ufumbuzi kwa wakati?
Mfano katika mambo ya Utafiti na Afya, tunao - The National Institute for Medical Research (NIMR) - Is the largest...
63 American spies with Canadian Passport waliwatambua baada ya ndege kupaa? Yaani intelligence yao ilishindwa kutambua all 63 Spies before??
Okey, let say walishindwa, so after being informed kwamba katika ile ndege kuna spies the only option ilikua kuitungua ndege, not even asking the pilot...
Habarini wanabodi,
Hope weekend imeanza poa. Kuna moja mbili ningependa tukumbushane chap kabla hatuja umaliza huu mwaka ili next year iwe time nzuri ya kutekeleza kwa uzuri yale tutakayo panga this year. Ila katika yote, kuna some few things, just simple reminders.
1. Kuna ule msemo pendwa...
Heshima mbele wakuu.
Katika Haya maisha Kuna mambo mengi ambayo sometimes yanatokea na tunaona kama vile 'yalitakiwa tu kuwa hivyo', like we deserve that life... Na hali hii inapelekea tuache kutambua kwamba things like that happen ili kutukumbusha kuwa kuna higher authority above that take the...
Shida moja wapo ya ofisi nyingi tendaji za serikali wanafanya kazi kumfurahisha mtu na sio kwa manufaa ya umma. Watu badala ya kusupport jitihada binafsi za watz wao wako tayari kuzima jitihada hizo kisa hawaelewi kilichogundukiwa au wanadhani kinaweza kuwa na madhanara.
Nadhani hakuna...
Ni kweli kabisa na huwa sielewi sababu za serikali kuzima juhudi za wavumbuzi wa kitz, anyway, kama tz is not favorable ni vizuri kutafuta nchi nyingine. Mazingira rafiki ni muhimu sana kwa ukuaji wa vipaji.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.