Habari Mkuu!
Natumaini u mzima wa afya, pole pia kwako wewe unayesumbuliwa maradhi. Naamini Mwenyezi Mungu atakuponya.
Najua mara zote katika mahusiano ya kimapenzi kuna changamoto nyingi ambazo ni lazima uzipitie, kuna zingine zinakuimarisha na kukufanya uyafurahie mahusiano hayo na zingine...
Nimepita kwenye 'page' yao nikakutana na hiki, ikumbukwe kwamba jana ndo wamemtambulisha mtangazaji aliyekamilisha utatu mtukutu ndugu yetu Paul James na kuonekana kuwa na yeye ni miongoni mwa watu wapenda maji.
T[emoji769]
Heshima kwenu wakuu,
Nimekuwa nikisumbuliwa na kasumba moja ili mbaya sana, maana kila mwanamke mwenye kuweza kutimiza haja zangu kila nikimtongoza lazima anikatae. Kwa mda sasa nimekuwa nikichagua machaguo yasiyo halali yangu na kuishia kuachana maana ninayempenda hanipendi mimi. Sasa...
Habari zenu waungwana.
Mara nyingi nimekuwa nasikia na kuona watu wakibishana kuhusu tofauti ya mtu mshirikina na mtu mchawi, hawa watu wanatofautiana.
Mwenye kufahamu kuhusu tofauti hizi mbili atupe ukweli wa mambo jinsi ulivyo pengine tukajua mambo mengi. Mkuu mshana jr na jichawi njooni pia...
Habari wana jf!
Huyu ni msanii wa hapa hapa nchini Caroli Kinasha japo si msanii maarufu ila nyimbo zake nazikubali sana.
Kwa aliye na wimbo uitwao 'Ni Pendo' wa Caroli Kinasha anisaidie.
Wabari Wakuu!
Maisha yetu yanazidi kubadilika kila kukicha, kuna mambo hapo mwanzoni hayakuwepo na kuna mengine pia yalikuwa yanatokea. Uolewaji wa wanawake katika jamii zetu kwa kipindi cha nyuma ulikuwa ni wa kufuata maadili na misingi ya jamii.
Kadri ya ulimwengu unavyozidi kwenda ndio na...
Habarini Wakuu!
Kuna ndugu yangu anahitaji kusomea uigizaji (Actor), sasa nataka kujua Chuo cha Sanaa Bagamoyo vile kinatoa course na kuhusu pia gharama zao.
Mwenye ufahamu wa hili tujuzane jamani, atakuwa amenisaidia sana. Nawasilisha.
Habari Wakuu!
Eti ni kweli mwanaume kumtongoza mwanamke au kutongozwa mida ya asubuhi ni laana?
Ni kweli kwenye kutongoza kuna time limit?
Wajuvi wa mambo hebu tusaidiane jamani.
Habari Wakuu!
Eti ni kweli mwanaume kumtongoza mwanamke au kutongozwa mida ya asubuhi ni laana?
Ni kweli kwenye kutongoza kuna time limit?
Wajuvi wa mambo hebu tusaidiane jamani.
Habari Wakuu!
Nina ndugu yangu amekuwa akisumbuliwa na tatizo la uvimbe tumboni upande wa kushoto, ni mda mrefu sasa.
Tangu mwezi Novemba 2015 amekuwa akiumwa sana, na kuna siku alitapita damu mfululizo na kupelekea kwenda kuongezewa damu hospitalini.
Kwa sasa hali yake inaendelea na unafuu...
Jamani waungwana mbona sipati Access ya facebook account yangu, au kuna tatizo? maana hata ninapoandika www.facebook.com sioni chochote kinacho appear.
Msaada jamani.
Habari Wakuu.
Nina tatizo limekuwa likinisumbua kila wakati, pindi nipatapo safari huwa najikuta natetemeka na kuwa na hofu na mashaka juu ya safari yangu. Niwapo stendi nasubiri usafiri mapigo ya moyo huenda kasi pamoja na tumbo kuvuruga.
Ni mda mrefu sasa hichi kitu kimekuwa kikinisumbua...
Habari zenu Wakuu!
Tangu nimekuwa nikifanya usafi wa mwili kuna kitu kimekuwa kikinichanganya sana akili, maswali mengi nimekuwa pia najaribu kuyatafutia majibu lakini sijabahatika kuyapata majibu yake.
Ulimewahi kujiuliza unapoingia bafuni kuoga na pindi umalizapo kuoga huwa unajifuta na...
Habari zenu Wakuu!
Tupo katika siku chache zilizobaki ili tuweze kuukamilisha mwaka 2015, sina budi kumshukuru Mungu kwa uzima anaozidi kutujaalia japo tunapita katika changamoto nyingi.
Nimeamua kuyasema ya Moyoni kuhusu JamiiForums jinsi inavyotoa elimu katika nyanja mbalimbali pamoja na...
Habari Wakuu!
Nahitaji msaada kwa anayejua jinsi ya kutuma ujumbe wa picha, sauti ama video kwa kutumia njia ya MMS, hii ni kwa simu ya aina yoyote ila ina uwezo wa kutumia MMS. Mwenye kufahamu anisaidie.
Zangu shukrani natanguliza #Bandugu.
EMMYGUY
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.