Eti ni kweli mwanaume kumtongoza mwanamke au kutongozwa mida ya asubuhi ni laana?
Ni kweli kwenye kutongoza kuna time limit?
Wajuvi wa mambo hebu tusaidiane jamani.
Sio laana mkuu tena huwa wanapenda sana. Hawa viumbe wasipotongozwa hata siku moja huwa wanakuwa na maswali sana vichwan mwao.
Ila kwa sie midomo zege njia ya simu au kutongozewa huwa safi sana. Hautumiii nguvu nyingi taratibu unabeba mzigo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.