Kumtongoza Mwanamke

EMMYGUY

JF-Expert Member
Aug 6, 2015
11,099
25,346
Habari Wakuu!

Eti ni kweli mwanaume kumtongoza mwanamke au kutongozwa mida ya asubuhi ni laana?
Ni kweli kwenye kutongoza kuna time limit?
Wajuvi wa mambo hebu tusaidiane jamani.
 
Kama imani yako ndiyo inavyokwambia hivyo basi chukua namba tu hlf utatongoza mchana
 
Sio laana mkuu tena huwa wanapenda sana. Hawa viumbe wasipotongozwa hata siku moja huwa wanakuwa na maswali sana vichwan mwao.
Ila kwa sie midomo zege njia ya simu au kutongozewa huwa safi sana. Hautumiii nguvu nyingi taratibu unabeba mzigo
 
Back
Top Bottom