Mfano Majina ya Sensa yametoka kila Mkoa na wilaya na Halimashauri zake. lakini ukifungua yanakataa. Wataalamu tunaomba msaada wenu na majibu Yenu kitaalamu.
Kuna Jambo linauma Sana hasa kwenye Jamii zetu tunazoishi. Ofisi za Taasisi za Umma zimekuwa ni Taasisi za unyanyapaa Sana hasa kwa Watu wenye Ulemavu. Unakuta wewe mlemavu unakuja kutaka Huduma kwenye ofisi hizo unakuta kabla hujasalimia Mkuu wa Taasisi anakuambia leo sina Hela. Kabla hata...
RIWAYA: HUJUMA 1
MTUNZI: richard R. MWAMBE
UTANGULIZI
Tanzania inasonga katika nyanja ya sayansi na teknolojia, inapate uwezo wa kutengeneza silaha kubwa na za kisasa, vitu mbalimbali vya thamani na weredi wa hali yajuu.
Meli kubwa ya kivita ya JW inatekwa na maharamia wakiwa na lengo la kupora...
Ukweli usiopingika Huyu Mgombea tuliyemsimamisha kugombea Huko Buyungu ni kikongwe na anahitaji kupumzika baada ya kulitumikia Taifa kwa Muda mrefu kama Mbunge na Waziri.
Naomba tusirejee tena kosa kama hilo la kuwapitisha wazee. Wacha wapumzike wale Pension fund Zao.
Hivi huko hakuna kijana...
Napenda kuwatangazia Chadema waache maneno ya kichochezi katika kampeni zao zinazofanyika sasa nchini. Waongee nini watafanya kama wakiaminiwa na wananchi na kupewa uongozi sio kuongelea Mambo ya Rais Wetu. Namsihi Mbowe na Genge lake waache Maneno ya Uchochezi zaidi wajikite kwenye Kampeni za...
Tutafakari kuhusu ukosefu wa ajira Tanzania
Hii ni mada niliyoianzisha juzi, nashukuru sana kwa kuweza kuisikiliza na Ajira kwa watu wenye Ulemavu za sisitizwa na Wizara husika.
Sasa kazi kwa Waajiri kutumia Sheria katika suala la kuwaajiri watu wenye Ulemavu nchini.
Wachangiaji wa uzi huo...
Habari ndugu zanguni, Wasomi wenzangu ambao tumetumia muda mrefu kukaa darasani tukitegemea siku moja Serikali yetu itatusaidia kupata ajira au Kutuwekea mazingira mazuri ya kujiajiri.
Lakini cha ajabu ajira wanapata tu wale wanofahamika kwa wakubwa, wanyonge tumebaki kusomea ualimu na ualimu...
Ndugu Hussein Bashe ni hazina iliyosalia katika Chama chetu, Tena anauwezo mkubwa kuliko Wabunge wetu wengi ambao ni masalia ya awamu zilizopita ambapo Wabunge waliokuwa wanapita kwa kupendelewa ama kwa sababu ya Pesa Zao (Rushwa) au kwa kisingizio kuwa ni mtoto wa Mkubwa mstaafu.
Naomba Chama...
Naomba wajikomboe kwanza wenyewe kabla hawajaja na ngonjera yao ya kuikomboa Tanzania kama wanavyodai wenyewe. Yaani wenyewe majungu tu ila wanakimbilia kusema wanataka kuikomboa nchi hii. Kweli mimi nakubaliana na kauli ya mheshimiwa Mkapa alipofungua kampeni za chama bora pale Jangwani...
Jamani naomba kujua kama hawa TBC ni channel bado analogue au nao wapo ki- digital? Maana hawapo mubashara kama channels zingine. Wanapitwa hata na Channel za uchochoroni huko. Kwanini nao wasibadilishe mitambo?
Jaribuni kwenda na wakati Bhana.
Chumba chetu kilikuwa na kila aina ya uchafu, hivyo sasa tumeamua kwa dhati kabisa kukisafisha. Naona mmeshaona Mende, kunguni, Panya, buibui na wadudu wengine wanavyosepa.
Tumepulizia dawa ya kuwaangamiza wadudu woke warukao na wanaotambaa. Huko upande wa pili kuweni makini. Kuna hatari wadudu...
Chadema msituzingue! Mbowe lazima aende akajibu shutuma inayomkabili.
HIVI NYIE MLIPOTA JA MAFISADI MLITUMIA SHERIA GANI? TENA MLIMTAJA HADI RAIS WA NCHI WAKATI ULE MHE. KIKWETE!!!
NA RAIS MSTAAFU MHE. MKAPA!!! leo anatajwa Mbowe mnataka kuhamisha agenda na kuifanya ya Makonda peke yake...
Usilitaje jina la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye meseji za utani au vichekesho ambavyo lengo lake ni kuchekesha tu, isipokuwa kwa taarifa ambazo una uhakika nazo na zimethibitishwa na mamlaka husika, kinyume na hapo ni kosa kisheria, na unaweza kushitakiwa na Jamhuri, Unaweza...
Wakati kuna walemavu Asilimia chache sana wanaobahatika kupata Elimu hapa nchini. na wengi wa walemavu hawaendi Shule kabisa hii ni kutokana na Maisha yao kuwa Duni au mazingira ya Elimu kuwa Tatizo.
CCM imetetea jimbo lake moja kule Dimani Zanzibar, na kutetea pia kata zake 19,
Chadema imetetea kata yake 1.
Hakuna aliyepanda wala kushuka...
Muhimu watanzania wafahamu kuwa mazingara ya chaguzi za marudio nchini ni ngumu sana upinzani kushinda, sio uchaguzi huu bali historia ya chaguzi...
Mapinduzi ya Zanzibar yalitokea mwaka 1964 ili kumuondoa madarakani Sultani wa Zanzibar na serikali yake, iliyoundwa hasa na Waarabu , na hatimaye kuweka uongozi mikononi mwa Waafrika , ambao ndio wengi visiwani humo (230,000 hivi).
Tarehe 12 Januari 1964 asubuhi na mapema, mwanachama wa ASP...
KAGERA
Leo Rais wa Jamhuri wa Muungano Mh. John Pombe Magufuli anategemewa kuwasili mkoani
humo kwa ziara ya siku mbili yenye lengo la kuwatembelea wananchi walioathirika na tetemeko la Ardhi lakini pia kuzindua na kuweka mawe ya msingi katika miradi kadhaa ya maendeleo ambayo yaliathiriwa...
BEN alitoweka ktk kipindi ambacho alikuwa
akihoji uharali wa PhD ya Mh Magufuli.
Wajinga wachache walianzisha propaganda
mitabdaoni kujaribu kuhusisha kutoweka
kwake Ben na alichokuwa akikihoji ili
kumchafua Mh Rais na serikali yake. Lakini
mpaka sasa inaonyesha kabisa maji yako
shingoni maana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.