Don san tan
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 562
- 433
Ukweli usiopingika Huyu Mgombea tuliyemsimamisha kugombea Huko Buyungu ni kikongwe na anahitaji kupumzika baada ya kulitumikia Taifa kwa Muda mrefu kama Mbunge na Waziri.
Naomba tusirejee tena kosa kama hilo la kuwapitisha wazee. Wacha wapumzike wale Pension fund Zao.
Hivi huko hakuna kijana wa kuweza kusimama mpaka apitishwe huyo?
Anyway ni Mbunge atakayetokana na CCM yetu tuungane tuwe wamoja.
Narudia tusirudie kosa la Kumpitisha Mzee sehemu nyingine yoyote ile. CCM tuna vijana wengi tena wasomi wakubwa sio kung'ang'ania wazee.
Tuwaache wazee wetu wapumzike.
Ahsanteni sana Nawatakia utekelezaji mwema.
CCM OYEEEE!!!!
Naomba tusirejee tena kosa kama hilo la kuwapitisha wazee. Wacha wapumzike wale Pension fund Zao.
Hivi huko hakuna kijana wa kuweza kusimama mpaka apitishwe huyo?
Anyway ni Mbunge atakayetokana na CCM yetu tuungane tuwe wamoja.
Narudia tusirudie kosa la Kumpitisha Mzee sehemu nyingine yoyote ile. CCM tuna vijana wengi tena wasomi wakubwa sio kung'ang'ania wazee.
Tuwaache wazee wetu wapumzike.
Ahsanteni sana Nawatakia utekelezaji mwema.
CCM OYEEEE!!!!