Don san tan
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 562
- 433
Tutafakari kuhusu ukosefu wa ajira Tanzania
Hii ni mada niliyoianzisha juzi, nashukuru sana kwa kuweza kuisikiliza na Ajira kwa watu wenye Ulemavu za sisitizwa na Wizara husika.
Sasa kazi kwa Waajiri kutumia Sheria katika suala la kuwaajiri watu wenye Ulemavu nchini.
Wachangiaji wa uzi huo pia nawapongeza sana.
Karibu tuijenge Nchi yetu.
Mungu ibariki Tanzania, Mungu wabariki viongozi wetu.
Ahsanteni sana kwa kusoma
Hii ni mada niliyoianzisha juzi, nashukuru sana kwa kuweza kuisikiliza na Ajira kwa watu wenye Ulemavu za sisitizwa na Wizara husika.
Sasa kazi kwa Waajiri kutumia Sheria katika suala la kuwaajiri watu wenye Ulemavu nchini.
Wachangiaji wa uzi huo pia nawapongeza sana.
Karibu tuijenge Nchi yetu.
Mungu ibariki Tanzania, Mungu wabariki viongozi wetu.
Ahsanteni sana kwa kusoma