Kwa wale mnao "ona mbali" nakuamua kuweka petroli majumbani kwenu. Kuweni makini, hiyo kitu ikilipuka madhara yake, ni bora ungekubali kutembea kwa mguu au kupanda baiskeli.
Utangulizi
Tokea 9/11 vyombo vya usalama wa taifa vimekua vikijihusisha zaidi na masuala ya ulinzi wa mipaka na kutafuta na kuzuia ugaidi. Vyombo
vya usalama vya nchi nyingi vimefanya marekebisho makubwa baada ya ushauri uliotokana na ripoti na utafiti uliofichua mapungufu yaliyo
enda...
Website ya mahacker wapya ambao walihack website za FBI, CIA na US Senate, sasa hivi ipo down, na hivi karibuni wamehack website ya law enforcement ya Arizona.
Wamarekani wanakaribia kupitisha sheria kuwa kuhack website zao ni ACT OF WAR...maana yake wanaweza kuwaIRAQ nchi yoyote...
Wadau, natafuta info kuhusu hawa jamaa, nimesikia walikuwa makamanda kwenye vita ya 1978. Mwenye info zaidi atumwagie hapa.
Abdallah Twalipo na Tumainiel Kiwelu
Moja ya kazi za hizi National Intelligences ni kuweka siri. Lakini mambo ya CIA, MOSAD, KGB na wengineo yapo kila sehemu.
Ila hawa ndugu zetu wa TISS wamejitahidi katika hii section ya kuweka siri....yaani hawana WEBSITE, halawa TWITTER account, hawana FACEBOOK account, na wala hawa OFFICIAL...
Nadhani wengi wetu tunaufahamu msemo huu wa "Sababu tunayo, Nia tunayo na Uwezo tunao". Ni ile speech ya Mwalimu Nyerere iliyotolewa wakati ule wa vita zidi ya Nduli.
Ila watu wengi hawajafikiria hii sentensi maana yake ni nini. Actually hii sentensi ina mambo matatu ambayo unahitaji ili...
Hii mambo ya TRA kupokea malipo kwa kutumia M-PESA inamaana gani?
Ninavyofahamu mimi, M-PESA ni value-added service kwa Vodacom. Na kulazimisha au kushabikia wananchi walipie services za serikali kwa kutumia M-PESA ni kama kuifanyika matangazo/marketing Vodacom.
Kwa nini serikali isiseme watu...
Permanent Secretary in the Ministry of Energy and Minerals, David Jairo anasema kuwa discussions zimefikia final stage Discussions have reached the final stage, and we expect to unveil more details on the acquisition of the Dowans plant today,
Wakati kwenye hiyo website ya SYMBION inasema kazi...
Watanzania tuachwe kupelekeshwa kama mambumbumbu.
Mi sidhani kama CHADEMA walitakiwa kujibu hii hoja ya mshahara wa Dr. Slaa....huyu Nape amefanya maksudi ili mpotezee ishu muhimu zinazohusu nchi yetu.
Mshahara wa katibu wa CDM au wa katibu wa CCM, au mshahara wa rais sio tatizo kwa...
1 + 1 = 1.5
kwa maneno mengine:
tanganyika nchi kamili + zanzibar nchi kamili = tanzania nchi kamili . zanzibar nchi nusu.
Kwa kifupi muungano haujatulia kabisa, BOTH kimahesabu na kimaana ya muungano.
Kama ulinunua iPhone baada ya June 2010 (iPhone 4). Basi ujue imehifadhi sehemu zote ulizowahi kwenda tokea uiwashe.
Info yote hiyo imehifadhiwa kwenye faili linaloitwa consolidated.db ambalo lipo kwenye simu yako.
Ukitaka kuhakikisha, download program ya kumap kutoka hapa...
Wadau,
Nimepitia tovuti ya CCM na kuangalia wajumbe wa kamati kuu, maana kuna tetesi kuwa sijui akina lowassa na rostam wametolewa...... waliotolewa si wale wakina makamba tu, sio kila mtu?
Anyways, pointi yangu ni angalieni hii list inasema kuna wajumbe 38, lakini naona kama hawafiki hiyo...
Wadau,
Naona kama tunapelekeshwa na sisi tunaenda kama upepo.
Sasa kuna discussion ya NANI ALIPE deni la DOWANS.
Hii discussion haitakiwi kuwepo kabisa.
Issue sio NANI ALIPE....issue ni kwamba HAKUNA KULIPA KABISA.
Tuache kupoteza muda kudiscuss nani alipe, kwa sababu tukiendelea na hii...
Title inaweza ikawa inatisha kidogo, lakini nadhani issue ya humu ndani sio kubwa sana, ila nadhani ni ya muhimu.
Kwa mtazamo wangu, vyuo vikuu ikiwemo UDSM inasaidia kuipeleka nchi hii pabaya kutokana na wahitimu wake kuwa chini ya kiwango.
Wahitimu hawajui kuandika CV na lugha ya...
Wadau,
Kuna mtu ana nembo ya TISS au ya Ikulu? Nimejaribu kusearch online lakini sijazipata.
Nafahamu kuna nembo ya CIA, FBI, The US president. Kuna nembo ya Jamhuri ya Muungano, hata Tanesco wana nembo, pia TRA, polisi, hata kiDowans nacho kina logo.
Nataka kubadilisha Avatar.
Wadau,
Wikileaks imetoa news kuwa kampuni ya China ya Huawei imekiri kutumiwa na China kufanya ushushushu.
Kuna baadhi ya mitandao ya simu hapa nchini kwetu bongo ambayo inatumia mitambo hii ya Huawei.
Source: U.S. cable throws more mud at Huawei - Networking - Technology - News -...
Inasemekana kuwa, kama ukiinjoi sana maisha yako ya ujana, basi hutakuwa na ndoa inayodumu, lazima utaacha au kuachika tu.
Wanaomudu ndoa zao ni wale ambao wakati wa ujana wao walikuwa hawana furaha na hawana self-esteem, hawajithamini sana. na ndio maana wanajing'ang'aniza kwenye mahusiano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.