Chifunanga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 290
- 98
Wadau,
Naona kama tunapelekeshwa na sisi tunaenda kama upepo.
Sasa kuna discussion ya NANI ALIPE deni la DOWANS.
Hii discussion haitakiwi kuwepo kabisa.
Issue sio NANI ALIPE....issue ni kwamba HAKUNA KULIPA KABISA.
Tuache kupoteza muda kudiscuss nani alipe, kwa sababu tukiendelea na hii discussion itaimply kuwa tumekubali kulipa na sasa issue ni nani alipe.
Sijui nyie, lakini mi bado sijakubali kulipa, kwa hiyo discussion ya nani alipe ni useless kwangu.
Naona kama tunapelekeshwa na sisi tunaenda kama upepo.
Sasa kuna discussion ya NANI ALIPE deni la DOWANS.
Hii discussion haitakiwi kuwepo kabisa.
Issue sio NANI ALIPE....issue ni kwamba HAKUNA KULIPA KABISA.
Tuache kupoteza muda kudiscuss nani alipe, kwa sababu tukiendelea na hii discussion itaimply kuwa tumekubali kulipa na sasa issue ni nani alipe.
Sijui nyie, lakini mi bado sijakubali kulipa, kwa hiyo discussion ya nani alipe ni useless kwangu.