Chifunanga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 290
- 98
Inasemekana kuwa, kama ukiinjoi sana maisha yako ya ujana, basi hutakuwa na ndoa inayodumu, lazima utaacha au kuachika tu.
Wanaomudu ndoa zao ni wale ambao wakati wa ujana wao walikuwa hawana furaha na hawana self-esteem, hawajithamini sana. na ndio maana wanajing'ang'aniza kwenye mahusiano yasiyofanya kazi.
Source: Happy Teenhood Leads to Happy Adulthood and Divorce? TIME Healthland
Wanaomudu ndoa zao ni wale ambao wakati wa ujana wao walikuwa hawana furaha na hawana self-esteem, hawajithamini sana. na ndio maana wanajing'ang'aniza kwenye mahusiano yasiyofanya kazi.
Source: Happy Teenhood Leads to Happy Adulthood and Divorce? TIME Healthland