Chifunanga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 290
- 98
Kama ulinunua iPhone baada ya June 2010 (iPhone 4). Basi ujue imehifadhi sehemu zote ulizowahi kwenda tokea uiwashe.
Info yote hiyo imehifadhiwa kwenye faili linaloitwa consolidated.db ambalo lipo kwenye simu yako.
Ukitaka kuhakikisha, download program ya kumap kutoka hapa petewarden/iPhoneTracker @ GitHub halafu jaribu uone.
Haina ramani nzuri ya Tanzania, lakini unaweza kupata idea.
Sijui wale wazee wa TISS wanaitumia hii?....maana masharobaro wengi wana iPhone siku hizi.
Info yote hiyo imehifadhiwa kwenye faili linaloitwa consolidated.db ambalo lipo kwenye simu yako.
Ukitaka kuhakikisha, download program ya kumap kutoka hapa petewarden/iPhoneTracker @ GitHub halafu jaribu uone.
Haina ramani nzuri ya Tanzania, lakini unaweza kupata idea.
Sijui wale wazee wa TISS wanaitumia hii?....maana masharobaro wengi wana iPhone siku hizi.