Chifunanga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 290
- 98
Hii mambo ya TRA kupokea malipo kwa kutumia M-PESA inamaana gani?
Ninavyofahamu mimi, M-PESA ni value-added service kwa Vodacom. Na kulazimisha au kushabikia wananchi walipie services za serikali kwa kutumia M-PESA ni kama kuifanyika matangazo/marketing Vodacom.
Kwa nini serikali isiseme watu watumie Mobile Banking Payments kwa ujumla na wana 'single-out' M-PESA peke yake. Vipi hizi nyingine? TIGO-PESA, ZAP, na ZPESA?
Voda imeanza kuwa kama mali ya CCM vile.....halafu sasa hivi ni nje nje yaani.....dah!.....TTCL imeishia wapi?
Ninavyofahamu mimi, M-PESA ni value-added service kwa Vodacom. Na kulazimisha au kushabikia wananchi walipie services za serikali kwa kutumia M-PESA ni kama kuifanyika matangazo/marketing Vodacom.
Kwa nini serikali isiseme watu watumie Mobile Banking Payments kwa ujumla na wana 'single-out' M-PESA peke yake. Vipi hizi nyingine? TIGO-PESA, ZAP, na ZPESA?
Voda imeanza kuwa kama mali ya CCM vile.....halafu sasa hivi ni nje nje yaani.....dah!.....TTCL imeishia wapi?