Chifunanga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 290
- 98
Wadau,
Kuna mtu ana nembo ya TISS au ya Ikulu? Nimejaribu kusearch online lakini sijazipata.
Nafahamu kuna nembo ya CIA, FBI, The US president. Kuna nembo ya Jamhuri ya Muungano, hata Tanesco wana nembo, pia TRA, polisi, hata kiDowans nacho kina logo.
Nataka kubadilisha Avatar.
Kuna mtu ana nembo ya TISS au ya Ikulu? Nimejaribu kusearch online lakini sijazipata.
Nafahamu kuna nembo ya CIA, FBI, The US president. Kuna nembo ya Jamhuri ya Muungano, hata Tanesco wana nembo, pia TRA, polisi, hata kiDowans nacho kina logo.
Nataka kubadilisha Avatar.