June 2021 nilianza kulima nyanya kwa kununua mbegu ya kipato f1 gm 2 kwa 20000/=,linkmil 1.5kg kwa 30000/=.DAP 5kg kwa 10000/=, foliar fertilizer 1kg kwa 5000/=, duduacelemectine 1ltr kwa 20000/=.
CAN 25kg kwa 25000/= vingine kama eneo, kamba na mianzi sikugharamia chochote nikapata output yote...
Kwako mheshimiwa waziri wa OR-TAMISEMI napenda wizara yako itambue kuwa mfumo wa waalimu Tanzania wanaandaliwa kwa mitihani na kufaulu kwa Madaraja tofauti hivyo wizara yako kupendekeza kigezo cha kujitolea kama kipaumbele cha kuajiri hamtatenda khaki kwa waliotuma maombi.
Mosi,uongozi awamu...
Kwa miaka mingi sasa tumeacha wanasiasa wakijadili mitazamo mbalimbali ya mustakabali wa elimu yetu hasa wakiangalia output ilioko mtaani bila ajira. Haya ni maoni yangu ya nini kifanyike.
Mosi - Kwa wanaohisi mtaala wetu una mapungufu mengi sikubaliani nao changamoto kubwa katika elimu yetu...
Salamu kwa wote mnaorudi CCM .nawakumbusha mnapaswa kukumbuka wengi mlikatwa kwenye kura za maoni ndani ya CCM .baada ya hapo mkajiunga na vyama vya upinzani mkapewa nafasi bila kinyongo mkanadiwa mkachaguliwa mkaingia bungeni na katika baraza za madiwani hivyo hamna budi kutoa shukrani kwa...
Nimekuwa nikitafakari njia mbadala kwa ajira za vijana wanaohitimu vyuo mbalimbali kuanzia vile vya vyeti, astashahada na shahada ni wakati muafaka wa kuachana na mfumo wa sasa wa serikali kuandaa mswada wa ukomo wa utumishi wa umma wa miaka 10 baada ya hapo mtumishi anajiajiri maana miaka 10...
Kwa mujibu wa demokrasia ni mamlaka ya watu kuunda serikali hivyo kama raia unaomba uongozi ni lazima uwaombe wananchi was eneo husika wakuchague kinachonishangaza ni kwa nini waliojiuzulu hawakwenda katika majimbo yao kuwaambia wapiga Kura sababu za kujiuzulu kama walivyowanyenyekea ili wapewe...
Nimeamua kujihusisha na masuala ya ufugaji baada ya kukosa matumaini ya kuajiriwa nilianza na kuku wa kienyeji 8 mwaka jana mwezi wa tisa sasa wapo 52.pia mwezi wa nne tarehe moja nimenunua Nguruwe sasa naomba ushauri jinsi nitakavyomnenepesha ili anipe tija japo natamani niongeze 2 ili wawe...
Natafuta nafasi ya kazi ya kufundisha secondary kwa kusaini mkataba .Elimu yangu ni Bachelor
ya Elimu.nafundisha Geography ana history ni mzoefu wa kufundisha kwa miaka 2 sasa.nawasilisha
Naomba kwa yeyote mwenye shule ya secondary ya private aniajiri kwa mkataba wa miaka 2 au 3 .ni mhitimu wa shahada ya elimu .nafundisha geography na history.kwa mawasiliano ni PM .
Ikiwa leo ni siku ya 89 tangu serikali ya Rais Magufuli isitishe ajira 13 Juni 2016 na rais kawaahidi vijana haitazidi miezi miwili na uhalisia kesho tunamaliza miezi mitatu toka zuio la ajira lilipotolewa
Hii imezua sintofahamu ya nini hatima ya vijana hawa ambao wamekaa zaidi ya mwaka mmoja...
Kwa masikitiko makubwa naomba ujumbe huu umfikie mkuu wangu wa kaya.kama 13/06/2016 ulisitisha ajira na baadaye 22/06/2016 uliahidi haitazidi miezi miwili.sasa nakukumbusha tunamalizia mwezi wa tatu toka uagize.JE KATIKA hili Huoni kama umetuumiza kisaikolojia na tumekosa taarifa muhimu maana...
Kutokana na ukakasi wa kauli za serikali.napenda kuwakumbusha wahusika kuwa tumeishi kwa ahadi hewa kwa mda mrefu sasa toka sitisho la ajira litoke zimebaki siku 14 ziishe miezi miwili kama hamtuajiri ni bora mtuweke wazi maana mpaka sasa deni la milioni 12 la bodi linaniumiza kichwa ili hali...
Napendekeza wale wanafunzi kwa vile walichaguliwa kisiasa na kuepusha dhana ya waalimu wa tanzania kimbilio la waliofeli basi ningeshauri wapelekwe J.K.T .au VETA hakuna namna tusihalalishe vitu maana kesho mtaanza kuwapondea wakiharibu elimu yetu.
Nimekuwa kufarijiwa kwa muda mrefu kuwa nivumilie ajira za walimu zitatoka mapema. Ila sasa mpaka nimekata tamaa maana wanasiasa ni kawaida yao maneno mengi mwaka unaisha tunaingia mwaka mwingine mambo hayaelewiki.
Mtaani kunachosha yaani daah hata sijui
Kuna binti mmoja 24 yrs nimemtolea kishika uchumba kwao sasa pasaka nikammwambia sina kitu yeye kanijibu tusijuane tena sasa cha ajabu juzi alhamisi ananisumbua kwa meseji kuomba radhi ilihali nimepata msambwenda mwingine alijiona lulu sasa anajuta
Ndugu wanaJF nikiwa katika harakati za kutafuta mchumba katika mkoa wangu wa Mtwara nimebahatika kukutana na mabinti 4 lakini wote tumeshindwana yaani wawili ni tofauti za dini mimi mkristo na wao waislamu na mmoja hataki mimi nimuingilie kukagua simu yake hadi kaniomba tuachane na wa mwisho...
Kutokana na mgongano wa wagombea wa vyama vilivyopo chini ya mwamvuli wa UKAWA Nashauri kwa hali iliyopo waache kama ilivyo wasiwasitishe wagombea kufanya kampeni kwa kufuata mgawanyo wa majimbo kwa kuwa wapo wagombea hawana hela kabisa na wameshindwa kufanya mikutano hata mitatu ndani ya jimbo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.