Mathayo Christopher
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 413
- 289
Nimekuwa kufarijiwa kwa muda mrefu kuwa nivumilie ajira za walimu zitatoka mapema. Ila sasa mpaka nimekata tamaa maana wanasiasa ni kawaida yao maneno mengi mwaka unaisha tunaingia mwaka mwingine mambo hayaelewiki.
Mtaani kunachosha yaani daah hata sijui
Mtaani kunachosha yaani daah hata sijui