Nina kiwanja changu pahala off course ni kidogo (50 x 47 Futi) sasa nilitaka kuweka ujenzi pale! Nimemtuma fundi kufanya setting ya msingi na vipimo vya vyumba kulingana na nilivyotaka majibu yakawa hivi:-
VIPIMO VYA VYUMBA
1: Sebule -ft 12x16
2: Master - ft 12 x 10
3: Room 1 -ft 9 x 10
4: Room...
Habari wanajukwaa! Naamini muko vema na kama umeamka hauko vizuri kwa namna yoyote pole sana!
Jamani binadamu wa kizazi hiki sijui tunaelekea wapi! Yaani watu sasa hivi wamekuwa na roho ngumu kuliko maelezo!.
Yaani siku hizi ikitokea ajali tu iwe kwa mtembea kwa mguu, boda boda, gari au...
Habari zenu wajenzi na mafundi wa humu Jf,
Naombeni msaada kutoka kwa anaejua shida yangu ni kujua Ukubwa gani unafaa kuwa ukubwa wa Chumba Master na pia chumba bila master kinapaswa kuwa na ukubwa upi kiufundi tafadhali sana
Wakuu nauliza kwa mliojenga tayari, Ulitumia Tofali ngapi kujenga msingi tu wa nyumba yenye vyumba 3 ikiwa na jiko dining na public toilet!
Na je gharama gani inafaa kumlipa fundi kwa ujenzi wa msingi tu?
Eneo la kiwanja ni flat tu hakuna slope.
Poleni na majukumu wana jamvi, Binafsi staki kuwachosha, Baali nina jambo ambalo naomba kushea nanyi ili hata kupata uzoefu au hata idea tu maana maarifa elimu na uwezo wa kufikiri niliona nao mimi haiwezi kuwa sawa na mtu mwingine.
Iko hivi mimi ni mwnaume na naishi dsm nina mwanamke ambaye...
Habari wadau, Ningependa kujua ikiwa kuna mtu anajua utaratibu dhabiti wa kujiunga na chuo hulia Tanzania (Open University Tanzania).
Mwaka jana mdogo wangu aliomba kusoma diploma pale lakini hakupata nafasi, binafsi nilijua pale ukiomba tu unapewa bila masharti kigezo ni kuwa na sifa na kulipa...
Leo nimezunguka kutafuta kisimbuzi cha dishi cha kampuni ya Azam media kila sehemu hakuna nimeanza kupita kwa mawakala kadhaa wote hawana nikaona niende moja kwa moja mpaka makao makuu pale Tazara pia nikaambiwa hakuna dishi.
Nimeshangaa nakujiliuliza nini kinatokea kampuni kubwa kama Azam...
Wadau hii imekaaje, Ofisi ya takwimu mlitoa ajira online kwa ajiri ya uandikishaji wa sensa ya watu na makazi 2022. Mfumo wa uombaji ulikuwa mzuri sana na watu wakajua kila mtu mwenye sifa na aliye kamilisha maombi yake ataweza pata bila upendeleo wa aina yoyote.
Cha kushangaza majina yanatoka...
Tamisemi leo imetoa majina ya ajira za WALIMU na AFYA zilizokuwa zinasubiliwa kwa hamu na vijana wengi wenye kiu na ajira kwa zaidi ya miaka mitano sasa.
Hata hivyo katika majina haya kwa haraka haraka kuna mapungufu ambayo najiuliza labda ni ya kibinadamu au ni weredi wa watumishi wa tamisemi...
Habari wanajukwaa wenzangu, Binafsi ningeomba wajuzi wa sheria na mambo ya magereza watujuze na sisi tusiojua basi!
Sote tunajua kwamba Mh. Sabaya alipatikana na hatia na kuhukumiwa kifungo cha miaka 30 jela. Wakati huo bado anakabiliwa na mashitaka mengine yanayo mfanya aendelee kufika...
Habari wana Jf doctors! Ugonjwa wa presha kwa siku hizi unaendelea kuwa moja ya matatizo makubwa kwa binadamu wote! Navyofahamu mimi kuna preha aina Mbili:- Presha ya Kupanda na Preha ya Kushuka. Sasa Naomba kuuliza kwa binadamu wa kawaida mwenye afya njema anatakiwa kuwa na presha...
Ndugu wana jamvi nadhani kila mmoja wetu anafahamu juu ya Kesi kubwa na nzito inayomkabili mwenyekiti wa Chadema Mheshimiwa Freman Aikael Mbowe na wenzake watatu.
Mengi tumeyasikia kutoka kwenye kesi hii likiwemo Jina la huyu anae tajwa kuwa Urio, Je huyu Urio ni nani? na je alikuwa miongoni...
Habari wana jamvi, tumshukuru Mungu kwa uzima aliotujalia na kwa walio wagonjwa poleni sana.
Nimeona ni vema kuuliza hili jambo kwenu wana jamvi kwani humu kuna watu wengi na wenye uelewa wa mambo mengi katika maisha.
Iko hivi, kuna mwana familia mwenzetu amekuwa akipitia changamoto huu mwaka...
Habari wakuu,
Niende moja kwa moja kwenye maada.
Hivi sasa tunatambua bodaboda imekuwa ni kazi inayowasaidia vijana wengi sana kujikwamua kiuchumi katika maeneo mbalimbali ya nchi yetu kitu ambacho ni kizuri sana.
Lakini kazi hii baadhi ya maeneo inafanywa kwa kukosa weledi na maarifa ya...
Wapendwa habari ya majukumu.
Naomba mwenye kujua aniambie, Nihitaji kujua hospitali inayo pima au kushugulika na matatizo ya COVID -19 nikapime mwenyewe kwa hiari yangu.
Nahitaji kupima maana, Wiki iliyopita Tar.10 nilikuwa kwenye msiba wa kaka yangu aliyefariki kwa matatizo haya ya upumuaji...
Tuliongea mara ya mwisho Jumatatu mchana baada ya kusikia ile habari ya wagonjwa Mbeya, kaka akawa ananiambia mdogo wangu nasikia hali sio nzuri jikingeni jamani nyie mnaoishi kwenye mikusanyiko mikubwa.
Nilimwambia kaka sio huku tu popote ulipo chukua tahadhari tu wewe, kama wewe maana hujui...
Habari ndugu zangu,....
Moja kwa moja niende kwenye maada "Je ulishawahi kuachwa na mtu uliyempenda sana ikaku stress kiasi kwamba ilikuadhili kwa namna yoyote kwenye kwenye maisha yako".
Nauliza hivi kwa sababu jana tu majira ya saa moja jioni kuna kabinti hapa nyumba pili tu nakafahamu...
Mimi nataka kuuliza leo, Haya matukio ya kuuana kwenye mahusiano hasa fumanizi yamekuwa mengi sana siku hizi. Hivi karibuni tu January 04 ya mwaka huu tulisikia jamaa mmoja Huko Chunya Mbeya amemua mtu aliyemfumania na mke wake ndani ya nyumba kwenye chumba anacholala akifanya mapenzi na mke...
Wapendwa Habari za leo,
Binafsi nina mpango wa kwenda kutafuta maisha nje ya nchi ndani ya huu mwaka 2021 kama mambo yangu yataenda kama nilivyopanga.
Mpango wangu nilitaka niende Accra, Ghana au Younde, Cameroon, kwa wale mliowahi kupita pita kwenye nchi hizo au hata zingine ndani ya...
Kijana mmoja nchini Zambia alietambukika kwa jina la Kaluwayo Mwika (29) amemuua dada mmoja kwa jina la Mapalo Masiku (21) aliyekuwa mpenzi wake kisha naye pia akajiuwa baada ya kutekeleza tukio hilo.
Inasemekana Kaluwayo Mwika alifanya mauwaji hayo baada ya binti huyo aliyekuwa mwanachuo wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.