Shamkware
JF-Expert Member
- Nov 25, 2013
- 1,740
- 2,243
Habari wanajukwaa wenzangu, Binafsi ningeomba wajuzi wa sheria na mambo ya magereza watujuze na sisi tusiojua basi!
Sote tunajua kwamba Mh. Sabaya alipatikana na hatia na kuhukumiwa kifungo cha miaka 30 jela. Wakati huo bado anakabiliwa na mashitaka mengine yanayo mfanya aendelee kufika mahakamani akiwa kama Mfungwa mwenye kesi nyingine.
Sasa kawaida tunavyojua ukishahukumiwa ni lazima upewe uniform za Gereza zilizo na namba ya kifungo chako kifuani. Sasa kwanini Sabaya havai uniform hizo ingali na yeye ni mfungwa tayari? Maana jamaa ananyuka suti tu
au inaruhusiwa ukiwa na kesi unaweza kuzivua ukavaa kiraia tu?
Mwenye kujua ebu atueleweshe.
Asante!
Sote tunajua kwamba Mh. Sabaya alipatikana na hatia na kuhukumiwa kifungo cha miaka 30 jela. Wakati huo bado anakabiliwa na mashitaka mengine yanayo mfanya aendelee kufika mahakamani akiwa kama Mfungwa mwenye kesi nyingine.
Sasa kawaida tunavyojua ukishahukumiwa ni lazima upewe uniform za Gereza zilizo na namba ya kifungo chako kifuani. Sasa kwanini Sabaya havai uniform hizo ingali na yeye ni mfungwa tayari? Maana jamaa ananyuka suti tu
au inaruhusiwa ukiwa na kesi unaweza kuzivua ukavaa kiraia tu?
Mwenye kujua ebu atueleweshe.
Asante!