Shamkware
JF-Expert Member
- Nov 25, 2013
- 1,740
- 2,243
Habari ndugu zangu,....
Moja kwa moja niende kwenye maada "Je ulishawahi kuachwa na mtu uliyempenda sana ikaku stress kiasi kwamba ilikuadhili kwa namna yoyote kwenye kwenye maisha yako".
Nauliza hivi kwa sababu jana tu majira ya saa moja jioni kuna kabinti hapa nyumba pili tu nakafahamu kamekunywa sumu kisa mpenzi wake amemuacha japokuwa hakufa walimuwahi na kumpeleka hospital. Ukiacha huyu wa jana wapo watu wengi sana wanapata madhara na matatizo na mpaka ulemavu kisa mapenzi inakuwaje hii wanapendaje hawa mi najiuliza sipati majibu kabisa.
Binafsi nimewahi kuachwa mara nyingi tu na wanawake ninaowapenda mno lakini sijawahi kupata taabu au maumivu ya kufikia kupata madhara ya aina yoyote kabisa najiuliza wenzangu mnapendaje?. Inakuwaje ujiue kisa mtu tu sio baba yako, Mama yako wala ndugu yako na wakati huo wanaume/wanawake wako wengi tu kila kona tena wazuri. Ukiniacha si natafuta mwingine tu tena mzuri zaidi yako maisha yanasonga.
Hivi huu ni ujinga ama tatizo gani linatukumba, ulimbukeni wa mapenzi ama nini. Mtu akikuacha si ujue tu hakupendi tafuta mwingine inakuwaje ukonde au kulialia au ujiue? Alikuwa anakulipa mshahara, Vijana tunakwama wapi?....
NB: Picha haihusiani na uzi huu.
Moja kwa moja niende kwenye maada "Je ulishawahi kuachwa na mtu uliyempenda sana ikaku stress kiasi kwamba ilikuadhili kwa namna yoyote kwenye kwenye maisha yako".
Nauliza hivi kwa sababu jana tu majira ya saa moja jioni kuna kabinti hapa nyumba pili tu nakafahamu kamekunywa sumu kisa mpenzi wake amemuacha japokuwa hakufa walimuwahi na kumpeleka hospital. Ukiacha huyu wa jana wapo watu wengi sana wanapata madhara na matatizo na mpaka ulemavu kisa mapenzi inakuwaje hii wanapendaje hawa mi najiuliza sipati majibu kabisa.
Binafsi nimewahi kuachwa mara nyingi tu na wanawake ninaowapenda mno lakini sijawahi kupata taabu au maumivu ya kufikia kupata madhara ya aina yoyote kabisa najiuliza wenzangu mnapendaje?. Inakuwaje ujiue kisa mtu tu sio baba yako, Mama yako wala ndugu yako na wakati huo wanaume/wanawake wako wengi tu kila kona tena wazuri. Ukiniacha si natafuta mwingine tu tena mzuri zaidi yako maisha yanasonga.
Hivi huu ni ujinga ama tatizo gani linatukumba, ulimbukeni wa mapenzi ama nini. Mtu akikuacha si ujue tu hakupendi tafuta mwingine inakuwaje ukonde au kulialia au ujiue? Alikuwa anakulipa mshahara, Vijana tunakwama wapi?....
NB: Picha haihusiani na uzi huu.