Shamkware
JF-Expert Member
- Nov 25, 2013
- 1,739
- 2,242
Ndugu wana jamvi nadhani kila mmoja wetu anafahamu juu ya Kesi kubwa na nzito inayomkabili mwenyekiti wa Chadema Mheshimiwa Freman Aikael Mbowe na wenzake watatu.
Mengi tumeyasikia kutoka kwenye kesi hii likiwemo Jina la huyu anae tajwa kuwa Urio, Je huyu Urio ni nani? na je alikuwa miongoni mwa washitakiwa au ni afisa wa Police?
Ni hayo tu waheshimiwa, Ngoja tuendelee kunywa mchuzi nyama zipo chini.
Mengi tumeyasikia kutoka kwenye kesi hii likiwemo Jina la huyu anae tajwa kuwa Urio, Je huyu Urio ni nani? na je alikuwa miongoni mwa washitakiwa au ni afisa wa Police?
Ni hayo tu waheshimiwa, Ngoja tuendelee kunywa mchuzi nyama zipo chini.