Naomba msaada jinsi ninavyoweza tengeneza bio gas digest ndogo nyumbani, nataka tengeneza kwa kutumia tank ya lita 100 kwa kutumia malighafi(materials) ninayoweza kupata kwa urahisi ni garama nafuu.
Nashukuru kwa msaada nitakaopata
Naomba msaada wenu ningependa kununua smart fone mpya ila nimejikuta nashinda kuchakua ipi iliyo bora kati ya hizi
1. Nokia 2.3
2. Samsung A20s
2. Infinix hot 8
Nitashukuru saana msaada wenu kujua upi bora zaidi hasa specification zake
Dereva wa MP Sentamu Kyagulani Robert aka Bobi Wine ameuawa akiwa ndani ya gari huko Arua.
Tukio hilo limetokea wakati viongozi wa upinzani wakiwa kwenye kampeni wakimsapoti mgombea huru Kassiano Wadri anayegombea ubunge wa Arua baada ya Mbunge Ibrahim Abiriga kuuawa kwa risasi.
Bobbi Wine...
jameni pokeni na shughuri za kutafuta mafao,
naombeni msaada , leo kuna hii mboga ya wanyamwezi na wasukuma huitumia " MZUBO" naomba kujua jinsi ya kuiandA na vile vile jinai ya kuipika
asanteni
nimekuwa nikitumia sim ya huawei y330 ila sasa nimepata simu ya nokia lumia so naomba msaada njisi ninavyoweza hamisha charts zangu zote toka y330 kwenda lumia
shukran
je hii ni kweli kuhusu budget yetu??????
www.observer.ug/business/38-business/39855-uganda-best-in-east-africa-in-budget-transparency
fungua hio link na soma na uje utoe koment na utoe maoni yako ni kivipi nasi tunaweza kuimprove hapa kwetu Tanzania
naomba msaada nahitaji hizi chemical zifuatazo
1. Campden Tablet
2 Tannin
3. na hiki kifaa " HYDROMETER "
Ntashukuru sana kwa msaada nitakaopata kwa mwenye kujua wapi naweza kuzipata
Congratulations!You have got 19 minutes to call all networks, 1000 national SMS and 8MB to be used till 2015-08-25.Dial *149*60# for balance.
HII SIO HAKI NAKIWA KUPATA DAKIKA 20 NA SIO 19
naombeni msaada kwa anayeweza kunisaidi, nataka kuripia whatsApp ila shida yanu sina bank account inayoruhusu maripo ya online , mwenye kujua jinsi ninavyoweza kufanikisha hili ntashukuru sana
naomba kama kuna mtu mwenye ujuzi na anayejua anachofanya, laptop yangu imegoma kuwaka kila ikiwaka inaishia kulongo logo ya window na kuzima nd sometime inakubali kuwaka kwenye safe mode but also wakati mwingine inazima au kugoma kabisa kuwaka, naombeni msaada , mimi nipo dar boko chama
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.