Habari za mchana,
Bila kupoteza muda niende moja kwa moja. Mimi nilihitimu chuo kimoja maarufu hapa nchini mwaka 2015. Tangu mwaka 2015 nlikuwa naishia tu kupata viajira vya kubangaiza bangaiza. Sasa mwaka huu mwezi wa nne tarehe 3 niliota ndoto ambayo nlivyoamka nikaitafakari sana sikupata...
ANASHANGAA KWANINI WATU WANAFELI NECTA!!
MI NAMJIBU HIVI
-Mkumbusheni kuna kitu kinaitwa normal curve kwenye hiyo hesabu kipo!!! Akijua hicho hawezi shangaa na
-Ajue wazi IQ tunatofautiana
-mazingira tunatofautiana
-Malezi tunatofautiana
-mwitikio tunatofautiana
-HIVYO WOTE HATUWEZI FAULU!!!
NA...
Habari, kama kichwa kinavyojieleza! Mwaka huu bingwa wa Komne la Dunia ni Uingereza kwa vigezo hivi viwili vya kiimani;
1. Mara nyingi bingwa wa Euro au mshindi wa pili wa Euro huwa anachukuwa Kombe la Dunia linalofuata.
NB: Siyo mara zote.
2. Ukifuata mtiririko huu wa waliochukuwa kombe...
mamdogo nimekukubali jinsi unavyojibu maswali kihekima najaribu kuona watu badala ya kuuliza maswali ya kujenga wao wanauliza maswali ya kukushambulia.. big up
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.