hadithi

  1. A

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Arudi kwa mzazi mwenzie baada ya miaka 15 ya ndoa

    Miaka kadhaa nyuma nilikuwa mwenyekiti wa kamati ya harusi ya kijana mmoja kwenye kanisa nililokuwa ninasali hapa Dar. Upekee wa hii ndoa ni misuguano na mabishano yaliyokuwepo kati ya kijana na familia yake hasa mama yake na dada zake. Sababu ya mabishano ni dada anayetaka kuolewa na kijana...
  2. The Black Hermit

    JamiiForums Tanzania Wakuu, ipeni marks hii hadithi.

    Wale mpendao Hadithi za Ujasusi, mnasemaje?
  3. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Hadithi ya kusisimua sana ya Jakaya Kikwete na Catherine Conrad

    Rais Mstaafu wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete amekutana na Mwanafunzi wa Udaktari kutokea Chuo Kikuu cha Kairuki, Catherine Conrad ikiwa ni miaka 18 imepita tangu alipomuona katika Taasisi ya Mifupa ya Muhimbili (MOI). Dkt. Kikwete alikutana na Catherine, Novemba 14, 2008 akiwa na umri wa miaka...
  4. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Kundi la kigaidi likitokea kuna Watu Wanasema ni mkono wa CIA au Mossad,mbaya zaidi hadithi za vijiweni zinaaminiwa mpaka na wasomi

    Nimegundua kuna watu ambao kwao kila kundi la kigaidi duniani lazima liwe limeanzishwa na CIA au Mossad. Ukitaja ISIS, Al-Qaeda, Boko Haram, Hamas, Hezbollah, Taliban, TTP, Jemaah Islamiyah na mengine mengi, jibu lao ni moja tu Marekani ndiyo waliunda.kwamba CIA ndo wanafadhili mafunzo na kuyapa...
  5. an alpha male

    JamiiForums Tanzania Kwanini miungu yazamani ina favoritism?

    NITATUMIA HADITHI YA MUSA NA DAUDI KAMA REFERENCE. Ushawahi kujiuliza kwanini Musa akaua akatoroka, lakini akawa shujaa? Kwanini daudi akazini, akaua, lakini akawa "mtu wa moyo wa mungu"? Au historia huandikwa na washindi? Nikaja kugundua; A. HADITHI ZINA AJENDA Vitabu vya Dini sio CCTV...
  6. Just Pray

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Jitihada za vyombo kudhibiti ghasia ndiyo imefanya Tanzania iwe ilivyo vinginevyo tungekuwa tunazungumza hadithi nyingine

    "Jitihada za vyombo kudhibiti ghasia na vurugu zile ndio zimefanya Tanzania iwe leo ilivyo. Vyenginevyo tungelikuwa tunazungumza hadithi nyingine. Lakini hapa mwenyekiti haimaanishi kuwa kwa wale ambao tutabaini wamekiuka sheria na taratibu za kazi zao kwamba hatutawajibisha, tutawajibishana." -...
  7. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Hadithi: Umslopogazi na Nada

    Mwandishi: H. Rider Haggard, 1892. Install app ya Maktaba Sauti kutoka playstore uweze kusoma na kusikiliza vitabu mbalimbali. Utangulizi Miaka mingi imepita—wakati wa baridi, kabla ya vita vya Wazulu, kulikuwa na mzungu aliyekuwa akisafiri kupitia Natal. Jina lake si muhimu kwa sababu...
  8. Nelson Jacob Kagame

    JamiiForums Tanzania Binadamu mnamjua Mungu aliyewaumba au mnakariri hadithi tu?

    Baada ya kupotea mda mrefu nimerudi tena ndugu zangu. Mniwie radhi kwa simulizi nilizoshindwa kuzimalizia.... sababu zilikua nje ya uwezo wangu. Leo ningependa niwaulize watu ambao mnajiita kua mna ubini wa Adamu. Mnamjua Mungu aliyeumba au mnakariri hadithi na mapokeo. Mungu yupo ila asilimia...
  9. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Kwanini wanakuwa wabishi wakati evidence ipo kwenye kitabu chao na hadithi zao kuhimiza fujo, udhalilishaji na ubaguzi

    Wafanye hawa mateka. Waue hawa. Wabague hawa. Wapige wake zenu Wafanye hawa watumwa
  10. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania Kwanini waislamu wanapingana kuhusu uhalali wa Hadithi?

    Kwa Sasa kwenye mitandao ya kijamii duniani kote, kuna mabishano makubwa sana juu ya uhalali wa kutumia Hadithi kuuhimilisha Uislamu. Lipo kundi linalosema kuwa Hadithi zimejaza tamaduni za Uarabuni na kuacha misingi ya dini ya kiislamu inayotokana na Quran. Lakini kundi linalounga mkono...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Kutoka kufurahia “Kazi ipo hakuna rushwa” Hadi kuacha ndala Godown, Hadithi halisi ya kazi za viwandani kwa wageni

    Ilikuwa miaka ya 2010s mimi na rafiki yangu tulikuwa tunahangaika kutafuta kazi. Tumezunguka viwanda vingi kila ukifika unaambiwa “hakuna kazi”, “acha namba”, “rudi wiki ijayo”. Siku moja tukafika kiwanda fulani, kulikuwa na jamaa yupo getini ni msimamizi akatuangalia akasema tu, “kazi ipo...
  12. T

    JamiiForums Tanzania Mfalme (THE EMPEROR) yupo uchi - HADITHI YA KWELI!

    Hapo zamani za kale palikuwa na Mfalme ambaye hakujali kitu chochote katika mamlaka yake isipokuwa mavazi yake, aonekane amependeza. Mfalme huyu hakufanya kazi wala hakupatiliza majukumu yake, alikuwa akiagiza tu. Yeye kila mwisho wa wiki alipanda farasi wake akatoka mjini na walinzi wake...
  13. kahawatime

    JamiiForums Tanzania Application ya Simulizi

    Habari wakuu nawakaribisha katika application yetu ya kahawa time inayopatikana app srote kwa watumiaji wa iphone na Ipad na Play store kwa watumiaji wa Android… pata simulizi kali kutoka kwa waandishi maarufu kama Story za Eddy, Patrick Ck, na wengine wengi
  14. CHAGOSI GERALD

    JamiiForums Tanzania 13. “Mtoto, njoo hapa nisikie vizuri, Nitakuambia hadithi ya JKT ambayo iliuawa kabla hujazaliwa

    Unajua JKT ilikuwa nini kabla haijageuzwa kuwa kambi ya kukimbiza vijana kama kuku? JKT ilikuwa shule kubwa kuliko zote, hospitali kubwa kuliko zote, shamba kubwa kuliko yote, chuo kikuu kikubwa kuliko vyote- lakini si kwa majina. Kwa DAMU na KAZI. Mtoto, fikiria hivi: Kijana aliyesoma Ualimu...
  15. N

    JamiiForums Tanzania Wakuu naombeni link au nitagini na ule uzi wa vitabu vya hadithi

    Wakuu nisaidieni link ya uzi wa vitabu mbalimbali vya hadithi.au mkinitag nitashukuru pia.
  16. kaisar19

    JamiiForums Tanzania Wasanii wa filamu, waandishi wa hadithi, Director,wachekeshi, Hili linawahusu

    kama kichwa cha habari kisemavyo tukutane hapa👇👇🎥KIBAO-CHA-SANAA 🎬🍿 Tujenge historia ya bongo movie
  17. Dr Luu

    JamiiForums Tanzania Nilinusurika Kifo – Hadithi Yangu ya Kuogelea

    Nimeona ni share hii Hadith yangu fupi ya utotoni. Nilipo kuwa mdogo, miaka karibu 4–5, nilienda na watoto wenzangu kuogelea mtoni. Tulivua nguo kama kawaida. Mimi, kwa udogo wangu, sikuwahi kuogelea, hivyo nilichezea pembezoni mwa maji machache. Wenzangu waliniita: “Njoo hapa, sio kirefu!”...
  18. Damaso

    JamiiForums Tanzania Malaika wa Kifo: Hadithi ya Kutisha ya Muuguzi Genene Jones

    Katika wodi ya watoto wachanga kwenye hospitali ya Texas, muuguzi mmoja alionekana mwenye tabasamu pana, uchangamfu kubwa, huruma na kujali isivyo kawaida. Alikuwa karibu na kila mtoto aliyelia, alihakikisha kila kitu kipo sawa, na mara nyingi alionekana kumfariji mzazi kwa tabasamu la matumaini...
  19. Joselela

    JamiiForums Tanzania 🌍 Hadithi ya Mti na Kiti cha Muda

    Hadithi ya Mti na Kiti cha Muda Katika ardhi nzuri iitwayo Tanzania, yenye milima inayogusa mawingu na mito inayobeba nyimbo za jadi, ulisimama Mti Mkuu uliowakilisha taifa. Mizizi yake ilitanda hadi ndani ya historia ya Uhuru, ikagusana na mifupa ya mashujaa waliopigania heshima ya ardhi hii...
  20. Mende mdudu

    JamiiForums Tanzania Hadithi ya EFM ya dada VERONICA mpya ya leo ina viashiria vya kupromote ushoga

    Hadithi zake zina mafundisho ila leo ameanza hadithi mpya. katika pitapita zangu nimekutana nayo ila maudhui yake hayendani na tamaduni zetu, Mtoto wa form one ana rafiki mzungu mara wana pigiana simu video call waogeshane. Kwa video call mzungu na uyo kijana wote wakiume ata kama una...
Back
Top Bottom