Achoki
Senior Member
- Mar 27, 2013
- 151
- 60
Habari, kama kichwa kinavyojieleza! Mwaka huu bingwa wa Komne la Dunia ni Uingereza kwa vigezo hivi viwili vya kiimani;
1. Mara nyingi bingwa wa Euro au mshindi wa pili wa Euro huwa anachukuwa Kombe la Dunia linalofuata.
NB: Siyo mara zote.
2. Ukifuata mtiririko huu wa waliochukuwa kombe kuanzia 2006 mpaka 2018 utagundua ni Uingereza pekee ndiyo hajachukua kikombe hiki katika zile ligi tano kubwa za Ulaya.
-Italia
-Hispania
-Ujerumani
-Ufaransa
-?
Naiona Uingereza?
NB: Ni utabiri tu kwa jinsi nionavyo mimi.
1. Mara nyingi bingwa wa Euro au mshindi wa pili wa Euro huwa anachukuwa Kombe la Dunia linalofuata.
NB: Siyo mara zote.
2. Ukifuata mtiririko huu wa waliochukuwa kombe kuanzia 2006 mpaka 2018 utagundua ni Uingereza pekee ndiyo hajachukua kikombe hiki katika zile ligi tano kubwa za Ulaya.
-Italia
-Hispania
-Ujerumani
-Ufaransa
-?
Naiona Uingereza?
NB: Ni utabiri tu kwa jinsi nionavyo mimi.