Picha ya kwanza ni mgombea kwa tiketi ya CHADEMA, Bw. Dismas Luhwago akirejesha fomu za uteuzi kugombea kiti cha Udiwani Kata ya Luduga Halmashauri ya Wilaya ya Wanging'ombe, mkoani Njombe na ya pili ni mgombea kwa tiketi ya CCM, Bw. Andrea Maseleka akirejesha fomu za uteuzi
Ni mtazamo wangu tu lakini inavyoelekea Chief Hangaya ameachia hii kesi ili Polisi waaibike na mwisho wa siku kuna watu watanyolewa vichwa hapa! Subirini muons maana sio kwa udhaifu ambao Polisi wanaonesha kwenye utetezi wao huko mahakamani.
Mama anaupiga mwingi!
Rais wa Marekani Donald Trump amesitisha mchango wa kifedha ambao Marekani imekuwa ikiutoa kwa Shirika la Afya Duniani WHO kufuatia namna walivyolichukulia suala la COVID-19.
Pia WHO wanalaumiwa kwa kuchelewa kutoa taarifa za mlipuko wa ugonjwa huo kwa mataifa mengine kwa wakati. Amewaambia...
Akihutubia taifa kutokea ikulu ya Marekani leo, Rais wa Marekani Donald Trump ametoa lawama kwa Umoja wa Ulaya kwa kutochukua hatua za haraka katika kudhibiti kusambaa kwa virusi vya Corona. Kufuatia hilo, ametoa zuio la wasafiri wote kutokea umoja wa ulaya kuingia nchini Marekani kuanzia saa...
Former president of Zimbabwe HE Robert Mugabe died at 95 years while receiving treatment in hospital in Zimbabwe.
Our condolences to the people of Zimbabwe, Mzee Jongo amekwenda, kazi kwa waliosalia sasa!
This is what one of the African blogger Biola Ladejobi relates Dee Lee’s statement targeting African American made in January 2002 to address why one should not blame Libya for the negative maltreatment against African immigrants.
Dee Lee is a CFP Harvard Financial Educator
THEY ARE STILL...
Maana kwa hali ilivyo sioni kama kuna nia ya dhati ya vyombo vya usalama kuwafikisha watesi wa Mh. Tundu Lisu kwenye mkono wa sheria. Sasa, najaribu kuwaza kisheria kama inawezekana tu. Ikatokea Mh. Tundu Lisu baada ya kupona na kutokana na vyanzo vyake mwenyewe akawa na ushahidi usio tia shaka...
Katika kuangalia majina ya wadaiwa sugu wa Bodi ya mikopo ya Elimu ya juu nimekutana na hili jina hapa chini. Huyu mdau kasoma na kumaliza UDSM kati ya 2005/2006, sasa hebu tujadiliane kama kweli kuna mwanafunzi MTZ mwenye asili ya jina hili kweli?
Na kama ndio, je ni kweli alistahili kupata...
Okro, also known as the “ladies finger” is a flowering plant in the mallow family. It is very nutritious as it is highly rich in carbohydrate, vitamins, water, and protein.
But studies have shown that it may be dangerous to men as it can cause infertilty. Okro has aunique substance called...
Yule mkimbiaji kilema Oscar Pistorius oka Africa Kusini aliyemuua aliyekuwa mchumba wake Reeva Steenkamp Mahakama imemtia hatiani na kumuhukumu kifungo cha miaka 6 jela kwa kosa hilo. Oscar alifanya kosa hilo mwaka 2013 huko Afrika Kusini. Sheria ni msumeno!
Naomba kwa mwenye uzoefu atupe ushauri sie wateja wapya wa Bima za magari.
Nimeagiza gari Toyota Noah - 2007, gharama zake mpaka kuitoa ni TZS 12M. Je Bima kwa maana ya comprehensive au Third party inaweza kuwa kiasi gani?
Na je, kuna formula yeyote inatumika au ndio kila kampuni inategemea...
Dar-es-salaam TANZANIA.
Ya kweli haya au nao ni uzushi mwingine tu!??
President Magufuli has banned all senior public officials from using fuel guzzling 4 x 4 cars and other luxury cars, ordering that all those cars in be seized and sold in a public auction and the money used to provide...
Pamoja na mabaya yake kwa Wazimbabwe, huyu Rais bado ana heshima kubwa miongoni mwa marais waliosalia Afrika. Hii ni sehemu mojawapo ya speech ambayo kwa kweli wakati akiisoma hakukwepesha macho kwa wazungu wala kwa Ban Ki-Moon alipokuwa akizungumza kwenye Mkutano wa marais na viongozi wa...
Kama swali linavyojieleza hapo juu, kila ninapomsikiliza mgombea wa CCM mara zote amekuwa akijinasibu kwamba atakwenda kuboresha hali na maisha ya watanzania, si kwa kupitia sera za CCM bali yeye kama yeye, hii imekaaje au inawezaje kutafsiriwa kwenye mizania ya kisiasa na kiutendaji?
Wadau ninajiuliza hapa sipati majibu, Prof. Muhongo aliteuliwa mahsusi kwa ajili ya kupewa huo uwaziri, na nakumbuka hata kuanza kazi alianza hata kabla ya kuapishwa kitu ambacho baadhi ya wanasheria walikuwa wanapingana nacho. Sasa ndio hivyo, kajiuzulu huo uwaziri, suala la ubunge linakuwaje...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.