Kaduguda
JF-Expert Member
- Aug 1, 2008
- 724
- 641
Wadau ninajiuliza hapa sipati majibu, Prof. Muhongo aliteuliwa mahsusi kwa ajili ya kupewa huo uwaziri, na nakumbuka hata kuanza kazi alianza hata kabla ya kuapishwa kitu ambacho baadhi ya wanasheria walikuwa wanapingana nacho. Sasa ndio hivyo, kajiuzulu huo uwaziri, suala la ubunge linakuwaje hapo? Au ndio ataendelea kuvuta posho mpaka hatima ya hili Bunge letu?
Ufafanuzi tu wadau!
Ufafanuzi tu wadau!