Kaduguda
JF-Expert Member
- Aug 1, 2008
- 724
- 641
Ni mtazamo wangu tu lakini inavyoelekea Chief Hangaya ameachia hii kesi ili Polisi waaibike na mwisho wa siku kuna watu watanyolewa vichwa hapa! Subirini muons maana sio kwa udhaifu ambao Polisi wanaonesha kwenye utetezi wao huko mahakamani.
Mama anaupiga mwingi!
Mama anaupiga mwingi!