Bima ya magari

Kaduguda

JF-Expert Member
Aug 1, 2008
724
641
Naomba kwa mwenye uzoefu atupe ushauri sie wateja wapya wa Bima za magari.

Nimeagiza gari Toyota Noah - 2007, gharama zake mpaka kuitoa ni TZS 12M. Je Bima kwa maana ya comprehensive au Third party inaweza kuwa kiasi gani?

Na je, kuna formula yeyote inatumika au ndio kila kampuni inategemea dalali wake?

Naomba ushauri pia wa kampuni ipi haina mizengwe maana wengine wasumbufu sana likitokea tatizo.

Karibu kwa ushauri!
 
Kwa kawaida ukichukua comprehensive Kwa kampuni yazofanya nazo kazi ntakucharge 3% ya thamani ya Gari then toka mwaka Jana mwezi wa Saba serikali imeweka 18% Kwa kila pesa ya bima unayolipa.

So Kwa ghalama ya 12 mill utatakiwa kulipa 424,800 Kwa mwaka , Kwa third party ni flat rate ni 100,000 + VAT ambayo total itakuwa 118,000 tu Kwa mwaka.
 
Back
Top Bottom