Utafiti wake aujanyooka vizuri, si kweli kwamba kg 50 zibebwe na watu 50 unga ndio una faida kubwa ila sio kama wengi wanavofikiri, kugharamia visa na tickets show money Kwa watu 50 kwa kg 50 hakuna tajiri ataefanya biashara ya kichaa kama hiyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.