Kiingereza cha Trump

Kiingereza cha Trump

Kwani uwongo? Kuwa sizonje hajui ngeli?
Hapendi utumwa ndo maana hana muda wa kuizijua lugha za watu wakati ana lugha zake.yaani madanganyika bado matumwa ambayo yanaona ufahari sana kujua kiingereza kuliko hata lugha zao.tusiwe watumwa.
 
Hapendi utumwa ndo maana hana muda wa kuizijua lugha za watu wakati ana lugha zake.yaani madanganyika bado matumwa ambayo yanaona ufahari sana kujua kiingereza kuliko hata lugha zao.tusiwe watumwa.
Acha kupotosha wewe sasa hizo shule alikua anatumia lugha yake? Kiingereza tunaanza primary yeye na PhD hawezi kuongea kiingereza fasaha fluently, Hapo kuna tatizo sema ukweli tu ndio maana ata akitweet anachapia zaidi ya mara mbili, husifanye watz wa sasa hivi ni wa mwaka 47.
 
Shida ya wabongo tunajifanya wajuzi wa mambo kumbe wapumbavu, mueleweshe vizuri kuna Englishs all over the Britain na kuna Dialect na accent za English hasa kwa native speakers kama D.J. Trump. Ukweli kuwa sizonje kitu hakipandi.
Vp hao wamarekani wenzake waliomkosoa hapo kwenye page yake baada ya ku-tweet?

Ina maana nao hawajui tofauti ulioisema?
 
Acha kupotosha wewe sasa hizo shule alikua anatumia lugha yake? Kiingereza tunaanza primary yeye na PhD hawezi kuongea kiingereza fasaha fluently, Hapo kuna tatizo sema ukweli tu ndio maana ata akitweet anachapia zaidi ya mara mbili, husifanye watz wa sasa hivi ni wa mwaka 47.
We shida yako unataka ajue kiingereza 100%?nyie ni watumwa na ndo maana hata alipoongea kisukuma shinyanga mlianza makelele yenu.
 
Kwani kakosea neno lipi hapo am just a form 4 drop out but I can't see where he has made mistake au ni neno honor....honored kama ni hilo I don't think linakosa
 
Tanzanian surely we have a punch of English in our head vichwa vimetoboka just go in dictionary or Google word honor and honored...shame on you
 
View attachment 462417

Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

We utakuwa boya fulani na hapa unajaribu kujifariji. Kujua kuandika kwa usahihi kuna uhusiano gani na kuijua lugha? Kwa hiyo unamaanisha ikiijua lugha utakuwa unajua pia kuiandika? Ni watu wangapi wanaongea kama chiriku lugha fulani lakini hawajui kuandika hata herufi moja ya lugha hiyo. Tuna watoto wadogo huko majumbani ambao bado hawajaanza shule lakini waongea kila neno vizuri tu? Huyo unayemtetea kwa hili umekwama.
 
Hafadhali kakosea spelling lakini ujumbe wake mzuri, Sio wetu sisi yeye anataka kutukuzwa na kutoa maneno ya kipumbav*.


Ndukiiiii
 
Nakwambia unaonekana kituko, wewe siyo native speaker wa kiingereza unamcheka D.Trump ambaye ni native speaker wa Kiingereza? Akili yako inakutosha wewe kweli? D.Trump ni Bilionea ana miaka zaidi ya 70, amefanya Biashara na Dunia nzima, wewe umezaliwa zako Tunduma huko leo hii unakuja kukosoa Lugha yake? Tena yake ya mama?
Kukosea kuandika aimaanishi ajui kuongea kaka, pengine ajui tu kuandika kiingereza vizuri kama ambavyo wapo wasiojua kuandika kiswahili na wanakiongea
 
Watanzania wenzangu lem help you, we have American English and British English... know that for you information, in America we have no word as honour or honoured ukiandika hivo umekosea watakushanga that is used in British English... America use honor...honored where by you cannot use it in British anayepinga aje.. shame on you my fellow Tanzania hakuna typing error hapo mnapisha ujinga bila kijua
 
walitaka asemeje? honoured? ambayo ni british english? hawajui kama "Honor" ni American English? au mimi sielewi?
 
Kukosea lugha yaweza lisiwe tatizo la kutokuijua, tatizo huku kwetu akikosea mtu utasikia haijui lugha fulani ...ujinga ni mzigo
 
Hii inaweza ikaeleweka ni Typing Error ila kwa mfano mtu anaandika...''ON BEHALF OF ME AND MY SELF''.....Hii nayo ni typing error?
 
Yote sawa... Lakini ukweli ni kuwa alikosea.. Na akarekebisha..


Nakwambia unaonekana kituko, wewe siyo native speaker wa kiingereza unamcheka D.Trump ambaye ni native speaker wa Kiingereza? Akili yako inakutosha wewe kweli? D.Trump ni Bilionea ana miaka zaidi ya 70, amefanya Biashara na Dunia nzima, wewe umezaliwa zako Tunduma huko leo hii unakuja kukosoa Lugha yake? Tena yake ya mama?
 
View attachment 462409

View attachment 462412

Chi-unajua tena angekuwa JPM ndio kakosea hapo chacha
patashika nguo kuchanika.

Tunaomba marejesho maana WTZ wengi hasa wachangiaji wa JF walio USA waliogopa umande, hivyo baraka yao ilikuwa kukimbilia USA kwa sababu ya dezo, kwenda kusoma vyuo kwa kuwa na form IV au chini ya hapo, (ooops yaani majority) vipi Trump atawarudisha kwa nguvu wale ambao bado hawana ukazi?

On behalf of myself and people of tanzania!!
 
Back
Top Bottom