Kwa ukuta huu wa Juventus,hawa Monaco leo hawatapata goal lolote

Deadbody

JF-Expert Member
May 30, 2015
4,274
6,594
Baada ya mechi ya Juventus vs Barcelona katika dimba la Camp Nou kuisha ,kocha wa Juve alihojiwa na waandishi wa habari akasema alipoingia Andrea Barzagli alijua mechi ndio ishaisha hapo maana hata zingeongezwa dakika 300 barca wasingeweza kupata goal lolote..Akaendelea kusema hata kama kungekuwa na kina Messi 6 uwanjani bado game ingeisha 0-0

Hii game naitabiri 0-2
upload_2017-5-3_21-39-17.png
 
Baada ya mechi ya Juventus vs Barcelona katika dimba la Camp Nou kuisha ,kocha wa Juve alihojiwa na waandishi wa habari akasema alipoingia Andrea Barzagli alijua mechi ndio ishaisha hapo maana hata zingeongezwa dakika 300 barca wasingeweza kupata goal lolote..Akaendelea kusema hata kama kungekuwa na kina Messi 6 uwanjani bado game ingeisha 0-0

Hii game naitabiri 0-2
View attachment 504214

Asante kwa utabiri wa matokeo...japokuwa leo Barzagli alianza na mfumo haukuwa tena 4-4-2
 
Hongera,Juve mwisho wake ni Real Madrid,kombe la kumi na mbili.Baada ya hapo Zidane atatangaza kupumzika kwa mwaka mmoja.Ronaldo ataondoka kwenda Man u au Psg pamoja na Sergio Ramos.
Kwa mwendo huu wa Juve naona kombe lao mwaka huu. Wapo kwenye kiwango
 
Kwa mwendo huu wa Juve naona kombe lao mwaka huu. Wapo kwenye kiwango
Juve alikuwa kwenye kiwango bora kabisa fainali ya 1997 akapigwa na Dortmund,1998 alikutana na Madrid akapigwa moja tena alikfunga Roberto Carlos na wakati huo Zidane alikuwa Juve.Hapo ndoo inatua Santiago Bernabou hakuna namna,Delle alpi watasubiri sana
 
1998 madrid alishinda 1-0 fainali na goli lilifungwa na pedrag mijatovich

Juve alikuwa kwenye kiwango bora kabisa fainali ya 1997 akapigwa na Dortmund,1998 alikutana na Madrid akapigwa moja tena alikfunga Roberto Carlos na wakati huo Zidane alikuwa Juve.Hapo ndoo inatua Santiago Bernabou hakuna namna,Delle alpi watasubiri sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom