Bukoba vs Moshi

Bukoba vs Moshi

Status
Not open for further replies.
MNAJIDAI MMESOMA KUMBE HAKUNA LOLOTE
BUKOBA HAKUNA CHUO KIKUU HATA KIMOJA ZAIDI YA MATAWI YA VYUO
Wanajidai au ni kweli tena wanasomea kwenye vyuo vyenu na kuwabwaga.unafikiri vinawasaidia basi.shida mna opportunity nyingi na hamzitumii vyuo vyote hivyo vingekuwa bk sijui pangefananaje.shida ubaguzi Wa wahaya na wivu ndio maana inakuwa hivyo
 
Elewa kwanza mada, hapa ni bk na moshi sio kagera vs kilimanjaro
JE BUKOBA NA MOSHI IPI INACHANGIA ZAIDI PATO? INGIA WEB YA TRA ALAFU URUDI HAPA
YAAN MAPATO YA BKB N MADOGO KULIKO YA WILAYA YA SAME MKOAN KLM
SEMBUSE MOSHI?
SISI WOLAYA ZOTE ZA MKOA WA KLZINAJIWEZA SIO MASKINI KAMA BIHARAMULO,KYERWA,KARAGWE,MISENYI
MTACHUKUA MIAKA 100 KUIFIKIA MOSHI/KLM[/QUOTE]
Bk imeamuka subiri muje muone
 
acha kufananisha mji na kijiji wewe. Moshi ni mji mkubwa zaidi na hapo ndo kiburi cha nshomile kilipoishia.hamna ujanja kwa hilo.
Kijiji eti bukoba ni kubwa kuliko moshi kieneo.INA watu wengi na nyumba nyingi kuliko moshi endeleeni kudanganywa na serikali
66569dccf35a4eb8d36938f9565302fb.jpg
 
Picha mzee porojo za nini
Ubishi wako umenikumbusha mbali sana nilikuw na rafiki yangu mhaya tulisoma wote tukawa tunabishana wahaya wana akili wanachanga wana akili nikamwambia tuombe mungu tukifikisha miaka 34 au zaidi tujipime nimemuita juzi nimemkopesha 50m bila riba atarudisha baada ya miaka 15 asilimia 30 ya 50 iliyobaki ni yake !!!
 
Ubishi wako umenikumbusha mbali sana nilikuw na rafiki yangu mhaya tulisoma wote tukawa tunabishana wahaya wana akili wanachanga wana akili nikamwambia tuombe mungu tukifikisha miaka 34 au zaidi tujipime nimemuita juzi nimemkopesha 50m bila riba atarudisha baada ya miaka 15 asilimia 30 ya 50 iliyobaki ni yake !!!
Shida wachaga wana dharau ya hali ya juu.na wahaya wanapenda sifa kadiri ya thread
 
Shida wachaga wana dharau ya hali ya juu.na wahaya wanapenda sifa kadiri ya thread
Haipo hivyo mkuu vijana wakichaga kama wakiweza kujiondoa kwenye biashara za kupenda wale dada powa ninakuapia 100% moshi itakuwa nzuri mara 5 Nairobi baada ya miaka 30 maana maandalizi yapo ninayajuwa
 
Nimewai kufika Moshi ila sikuwahi fikiria bukoba nayo imejitahidi kiasi hichi ingawaje bado aifikii Moshi
 
kipindi sijafika moshi
nilisikia sifa zake..duj watu wa huko wanajua kupasifia kwao..lakin kawaida sana..
ukitoka moshi ukiwa unaelekea himo ni vjiji vitupu..
afu mji wao mdogo sana..
 
Kweli wewe Mhaya eti inapakana na Kenya na Burundi...Viwanda kama Balimi etc aaah Bukoba bado saana kwanza watu wa huko bado wanasumbuliwa na funza aka jiggers
mmekosa hoja mmeanza vijembe..
kubalin tu...moshi ya kawaida
 
Bukoba na moshi ni miji tofauti sana. Fananisha Bukoba, musoma, kigoma, sumbawanga, songea, shinyanga, singida. Fananisha Moshi, Morogoro, dodoma, Iringa. Then Njombe, Babati, Geita, Mpanda, lindi. Halafu Dar, Mwanza, mbeya, arusha, Tanga. Kwa mlinganyo huu Sawa. Moshi ni manispaa inayoelekea kuwa jiji wakati Bukoba ni manispaa ambayo bado ina harufu ya halmashauri ya mji.
Dar ondoa ktk list yako ya mfanano!
linganisha hiyo miji yote kama ulivyoweka lkn kwa sasa Dar haiitaji kulinganishwa na miji mingine Tanzania, kiukweli haifanani!
kama ulivyosema kuhusu Moshi na Bukoba, Dar ilikuwa jiji 1961, acha tu lifananishwe na majiji mengine East Africa na sio haya ya Tanzania
 
Mtoa mada naona umechanganyikiwa mbona unatumia kigezo kimoja tu cha majengo tena ambayo hatuna uhakika kama ni bk alafu ukonkludi eti moshi imezidiwa?to a facts za kueleweka sio majengo.pia nyie mnaobisha hizo picha sio za moshi niwashaurini japo mtembee mkajiridhishe na sio kuleta uzushi Mara oooh ni Kenya Mara ni mwanza Mara sijui wapi.wtf
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom