Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Naombeni msaada wa steaming nzuri ya kupaka kwenye nywele na kuacha bila kuosha sitaki hizi za kuosha, anaejua steaming ya kuacha kwenye nywele naombeni jina lake ninunue. Asanteni
1 Reactions
8 Replies
12K Views
kizuri kula na wenzio SKIN CARE ROUTINE # 1:CLEANSING - Fashvo
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Kinadada wengi wamekua wepesi kudanganyika na hata kupuuza rangi zao za asili, kitu ambacho kimefanya wengi ku bleach ngozi zao na kuishia kuziaribu kabisa Embu tazama thamani na uzuri...
4 Reactions
43 Replies
10K Views
Natarajia kufunga ndoa siku si nyngi.napenda nivae suti ya blue, ila mie kipato changu ni cha chini kidogo kwa maana hiyo sitaweza nunua suti ya laki 5. Nataka nishone iwe simple, smart and...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
*DESING AND PATTERN MAKING WORKSHOP TRAINING* POP UP FASHION inatoa mafunzo ya kudizaini nguo mbali mbali pia inatoa mafunzo ya upimaji wa nguo,kujua aina mbali mbali za...
1 Reactions
4 Replies
21K Views
Good morning..... Ngozi yenye chunusi na mafuta mengi Chukua asali kijiko kimoja Mdalasini (cinnamon) kijiko kimoja pia Vichanganyikane kwa pamoja, Osha uso, upake usoni huo mchanganyiko...
12 Reactions
27 Replies
28K Views
Kwa ufungaji viremba almaarufu kama Gele, Karibuni sana kwa anayetaka kujifunza, natoa mafunzo hayo, na anayetaka kufungwa popote ndani ya Dar nitakufuata kukufunga. Kufunga Gele Kitaambaa...
0 Reactions
2 Replies
9K Views
Nywele zangu ni nyekundu sana nahitaji kujua ni mafuta gani ambayo nikitumia yatafanya nywele yangu kuwa Black na yenye kung'ara sana. Msaada.
0 Reactions
10 Replies
6K Views
Habari waungwana, Naomba kufahamu aina gani ya after shave nikitumia vipele havitatoka kwenye kidevu? Nimejaribu baadhi naona hazinisaidii..
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Naomba kujua daktari anaeweza kufuta kovu la kuungua kwa moto
1 Reactions
10 Replies
5K Views
Nisaidieni namna ya kurejesha rangi ya uso na mikono kwa haraka sana bila athari yoyote. Kwa kuna tofauti kubwa kati muonekano wa uso na mikono ukilinganisha na sehemu nyengine mwilini.
1 Reactions
16 Replies
4K Views
Mambo vipi waungwana,ni wapi wanachora tatoo zile za kufutika baada ya muda flani au kuzifuta mwenyewe pindi napohitaji kufanya hivyo hata kama ni kesho yake.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jaman naomba mnisaidie jinsi ya kuotesha nywele za kichwan kwa mtu mwenye uwalaza
0 Reactions
8 Replies
7K Views
Jamani nina mpenzi wangu anasumbuliwa na chunusi (sio nyingi but kwa sababu anazitumbua zinaharibu reception kwa kuacha madoa meusi) Nahitaji mafuta/sabuni au kitu cha kutumia kitakachomsaidia...
0 Reactions
42 Replies
27K Views
Ladies and Gentlemen; Lets start this week by revealing the secrete of your fresh smell Let everyone on this forum know among all the scents you've used, which ones do you like Most...
0 Reactions
42 Replies
8K Views
Hi, Naomba kujua ni wapi naweza kupata body cream inaitwa skin doctor...Naomba kujuzwa.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
From Vera Wang, to Alexander McQueen, Carolina Herrera, to Tom Ford, Ralph Lauren and many more, they killed it all, and deserve a trophy. Cc Polisi wa fashion Heaven Sent :)
2 Reactions
35 Replies
5K Views
Tusiongopeane bhana, yaani kabisa umevaa kisketi kifupiiiiii hadi tight ya ndani inaonekana kuwa ni nyeupe na ramani ya chupi ileeeeeeeeee kama haitoshi umevaa na ki blauzi chako mwenyewe...
12 Reactions
71 Replies
14K Views
Idadi ya vijana wanaojichora katika miili yao (tattoo) imeongezeka sana maeneo mengi hasa mijini. Lakini sio wote wanaofahamu kuwa kuna mambo ya msingi ya kujiuliza kabla ya kujichora tattoo...
1 Reactions
20 Replies
15K Views
Up the Career ladder, lipstick in hand. WANT more respect, trust and affection from your co-workers? Wearing makeup — but not gobs of Gaga-conspicuous makeup — apparently can help. It increases...
4 Reactions
47 Replies
4K Views
Back
Top Bottom