usiwe na haraka watakujibu. vuta subiraKwani humu jf mbona kuna matabaka
mbona kila nikiuliza swali mimi huwa sijibiwi
na wapo wanaoview ila hakuna ata alietia neno
Mbona kutengana jamani....???![]()
tumia KY JELLY mkuu,hautojuta na haina michubuko!Kwani humu jf mbona kuna matabaka
mbona kila nikiuliza swali mimi huwa sijibiwi
na wapo wanaoview ila hakuna ata alietia neno
Mbona kutengana jamani....???![]()
Uso una mafuta ndioUmeshasema uso una mafuta tena mafuta ya nini? Hata hivyo Vaseline za Kenya nazo si mbaya na kwenye baridi epuka kupaka mafuta mepesi mepesi hayakai tafuta mazito.( maana kuna mafuta mengine ni ya mgando lkn ukiyatest ni mepesi mno)
Tumia happy skin my utafurahi na shoo mwenyewe yani hata hauitaji kuweka greslin ni yenyewe tuHabari...
Mimi naishi Ifunda Iringa... Kama kunavyojulikana ni baridi sana huko
Naomba wataalamu mnishauri ni mafuta gani ntatumia nikiwa huko ambayo yanaweza kung'arishaa ngozi yangu na kuniweka na muonekano wa asili
Uso wangu una asili ya mafuta
Naombeni msaada![]()
Tumia carroriteKwani humu jf mbona kuna matabaka
mbona kila nikiuliza swali mimi huwa sijibiwi
na wapo wanaoview ila hakuna ata alietia neno
Mbona kutengana jamani....???![]()
tumia KY JELLY mkuu,hautojuta na haina michubuko!
Umeitikia tu na kushukuru unajua matumizi yake lakini?Asante sana mkuu
we muache tu ashukuru mkuu,humu tumebeba kila aina ya sampuli mkuu...Umeitikia tu na kushukuru unajua matumizi yake lakini? View attachment 373723
we muache tu ashukuru mkuu,humu tumebeba kila aina ya sampuli mkuu...