leah nziku
Member
- Jul 28, 2016
- 84
- 32
..jmn ni njia ip na vitu gani vya asil husaidia kukuza nywele kwa haraka ??
Nywele zako kama ni za kawaida hamna njia ya kiasili ya kuzikuza..jmn ni njia ip na vitu gani vya asil husaidia kukuza nywele kwa haraka ??
Umri wako kwanza ili upewe ushauri...jmn ni njia ip na vitu gani vya asil husaidia kukuza nywele kwa haraka ??
Nywele zako kama ni za kawaida hamna njia ya kiasili ya kuzikuza
26 yrs..Umri wako kwanza ili upewe ushauri.
dreads ni nn!!!Weka dreads zitakuwa ndefu hadi mgongoni.
dreads ni nn!!!
.......Nenda saluni ya wadada iliyokaribu nawe watakuonesha au gugo utaona na picha zake.
26 yrs..
no .cijaolewa ila nna mpnz ndioUmeolewa? Au una mpenzi?
no .cijaolewa ila nna mpnz ndio
hayuko interested na izi mambo.....Ulishamuuliza mpenzi wako kuhusu hilo swala lako? Amekujibuje?
hayuko interested na izi mambo.....
ka huna mchumba naomba niku pm.26 yrs..
ninae..ka huna mchumba naomba niku pm.