Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Nafikiria kutumia kaakiba kangu kununua pikipiki kwa ajili ya biashara ya bodaboda. Naomba ushauri kama ni biashara nzuri kufanya au nipige chini. Km unaona hailipi nipe ushauri wa biashara...
0 Reactions
4 Replies
10K Views
Salaam wakuu. Natafuta mtu wa kufanya nae potential biz ya Catering. Kama una kampuni ambayo iko DSM, Coast Region au Morogoro naomba tuwasiliane kabla ya 31st.May.2012 PM au rakeyescarl@yahoo.ie
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Kama wewe unamilki internet Cafe na fasi ni hii ya kujipatia Pesa kwa njia ya sms. kwa maelezo zaidi piga namba hii: 0769436393 usibipu tafadhali
2 Reactions
6 Replies
2K Views
soko la paprika liko wapi jamani?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
KWA kawaida jamii ya wamasai ni wafugaji. Kutokana na asili yao hiyo ya ufugaji, sehemu kubwa ya maisha yao imetawaliwa na tabia ya kuhamahama toka eneo moja kwenda jingine ili kutafuta malisho...
1 Reactions
5 Replies
5K Views
Yanatumika pia kupikia msosi?
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari zenu wandugu? Jamani natafuta watu wanaodeal na mambo ya procurement. Some sort of consultants au kampuni. Kama kuna mtu yeyote huko, please private message me. Natanguliza shukran zangu.
0 Reactions
5 Replies
3K Views
habari za kazi wanajamvi. kuna mdau anatafuta mfadhili ili amuwezeshe kufanya record ya kipindi cha television kinachohusu masuala mbalimbali ya kijamii,mienendo yetu na namna...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wadau naombeni mnisaidie kunitajia sehemu wanapouza screen za laptop aina ya sony vio. Nimetafuta bila .mafanikio
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari wadau, Nimenunua heka 50 za pori la miti,nataka kuchoma mkaa,sasa wadau naomba kujua utararibu wa kufanya ili niweze kusafirisha mkaa kutoka morogoro kuja dar,kitu gani cha kufanya...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Wakuu Ninayo security ya uhakika , property with tittle deed with a potential value from a valuation report (market value & forced sales value) ninahitaji mkopo wa mtaji wa biashara, note ni...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
"Strategy is defined as deliberate configuration of physical, extended,and generic attributes of a product to fit the needs,expected outcomes and purchasing habits and occasions of target market...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Duocore 1.6ghz Memory 2GB DDR3 Hard-drive 250GB Webcam,DVD RW Window 7 HP Price: 585,000/- 1 year Hardware Warranty Available @ Crystal Computers Uhuru and Msimbazi Round About Kariakoo
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mambo vipi wakuu. Ninaomba anayefahamu minada ya mbuzi katika mikoa ya jirani especially Tanga, Morogoro (?), na Dodoma hasa siku za Ijumaa, Jumamosi, na Jumapili anifahamishe please. Kama una...
0 Reactions
5 Replies
7K Views
We're giving our freedoms away. The American experiment was about freedom. Freedom to be stupid, freedom to fail, freedom to succeed. Glenn Beck - Freedom - America - Stupid - Fail - Success...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Naomba Lawyer /mwanasheria wa kujitegemea au aliyeajiriwa ajitokeze atakayenisaidia kuandika mikataba ya wapangaji wangu jumla wako 8 kwenye biashara yangu ya kupangisha. Naomba awe na bei nafuu...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari wana JF, ninashida jamani ya mkopo wa laki tano, kwa anayejua ninaweza kupata kwa riba nafuu kidogo.
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Hi wana jf. Ofisi inafanya kazi,uwezo wa kuingiza pesa inao,inatakiwa kuhamishwa na kufanyiwa marekebisho zaidi. Timu ni ndogo (watu 2 tu) kulinganisha na uwezo wa ofisi. Tunahitaji mtu mmoja...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu heshima mbele, Nauliza hivi kiwandani wazo cement, wanauzaji kwa tani 1, yaani 20 bags, nina kisehemu nauza cement, nadhani nikiwa nanunua direct kiwandan walau ka profit katapanda panda...
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Kwanza napenda kuwapa pole watz wenzangu kwa majukumu ya kulijenga taifa letu. Mimi ni kijana ambaye nimeajiriwa na kampuni moja hapa Arusha lakini napenda sana niweze kujiajiri na kusaidia...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Back
Top Bottom