Jamani kwa wale wafugaji wa kuku wa mayai naomba msaada wenu kuku wangu wanadonoana sana sijui ni kwa nini ikiwa mchanganyiko wa chakula ni mzuri
nisaidieni wanakwisha kwa kufa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.