JAMANI NINAHITAJI MKOPO WA HARAKA SANA KAMA 5M HIVI .kuna mahali nimepata kiwanja chini ya hiyo bei sasa nataka nikinunue na kwa sasa nii invest kwenye kitu kingine nikabaki holaa nimewaza mpaka...
wakubwa mlioko dsm au pande yyt naomba msaada wapi nitapata viti imara vya plastiki na kwa bei gani, nataka ninunue ili niwe nakodishia watu kwa ajili ya shughuli mbalimbal, nitashukuru sana kama...
Welcome to Victory Mobile Network!Hi,
It's a pleasure to have you on-board. Hopefully, you'll subscribe to Victory Mobile Network sooner than later!
Our institution is dedicated to help young...
hi jf,mimi ni kijana ninayetamani sana kupata katika maisha ili tatizo langu ni mtaji mdogo nilionao kwani mpaka sasa nina laki 7 tu na cjui niuzungushe vipi angalau uongezeke kidogo,nilichofikiri...
Wadau naomba kujua utaratibu wa kuuza ndizi za kuiva katika soko la ndizi la Mabibo D.s.m na huko Dodoma,ndizi ninazozungumzia ni za kuiva kutoka mkoani Morogoro hasa Matombo na Mgeta!nilikua...
Salaam wakuu,
The issue is, am planning to staRT my own business with a capital ranging from 5-10mill. Sina experience sana ya biashara so naomba kujuzwa biashara gani kwa hapa dar es salaam ni...
Habarini wana bodi!
Tafadhalini rejea kichwa cha habari hapo juu.
Hivi karibuni nimekutana na tathmini ya biashara moja ya kukoboa na kusaga mahindi iliyopo mkoa wa jirani na Dar inaonyesha kuwa...
habari ndugu zangu jf,naomba mchango wenu wa mawazo mie nina laki saba tu ingawa ni pesa ndogo sana,ila nataka nizungushe inizalishie kidogo kidogo na nilifikili nijumue nguo kidogo hasa hizi jezi...
jamani wana jamii sina hofu kwa msaada ntakaoupata kupitia forum hii wa kimawazo ili niondokane na changamoto inayonikabili kwa sasa. kwa kifupi iko hivi mm ni mwejeji wa mkoaX, nina ndugu wawili...
wakuu habari,siku zote naamini jf n sehemu yangu pekee ambapo naweza pata ushauri kwa asilimia 95%,naomba km hujui kuchangia kwa staha,nidhamu basi pita tu hapa,kuna biashara nimebuni ambayo...
Wakuu wa JF,
Naombeni mnisaidie mawazo wakuu, nina milioni 9 ninataka kufanya finishing ya "kiwango wa chini" ya kanyumba changu maeneo ya kibada ili nihamie. Nimeshaweka bati, gypsum na...
Naomba ushauri labda sielewi vizuri somo. mimi nlidhani ili nipate mkopo niwe na businessplan,collateral, legal business, kuwa unalipa kodi, una business license etc. sasa kuna bank zingine...
Helo great thinkers.. plz saidia mimi kulikuwa na thread moja ndefu sana ya kuhusu ufugaji wa kuku za kisasa,... nimeitafuta sana sioni... SOmebody help plz
Habari wakuu!
Ninataka kusafirisha refurbished printer toka Marekani. Kwa wazoefu wanajua ilivyo shida ya kusafirisha vifurushi toka nchi za Ulaya na Marekani.
Ninaomba kama unamfahamu mtu yeyote...
Greetings JF members and visitors,
Attached are more details about the project. It is an open invitation to anyone who meets the mentioned criterias to apply.
Regards,
Kate M.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.