Nataka kufanyanbishara ya MPESa, Tigo pesa, uuzaji wa vocha za Startimes, DSTV, Dawasco nk. Nimeambiwa rahisi kupata zote kupitia kampuni ya Selcom. Kwa wenye uzoefu utaratibu upoje na je, inalipaje?
Mkuu, kwa mtizamo wangu japo sikuwahi kufanya hii biashara.
Tafuta wateja wako utakao kua unawahudumia kwa mwezi au mtakavyokubaliana kuliko kukaa mahali pamoja kungoja mteja akutafute wewe. Hii italipa zaidi. Nikutakie mwanzo mzuri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.