Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

hi people im new here.. i need ur cooperation
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau naomba kujua utaratibu wa kuuza ndizi za kuiva katika soko la ndizi la Mabibo D.s.m na huko Dodoma,ndizi ninazozungumzia ni za kuiva kutoka mkoani Morogoro hasa Matombo na Mgeta!nilikua...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Salaam wakuu, The issue is, am planning to staRT my own business with a capital ranging from 5-10mill. Sina experience sana ya biashara so naomba kujuzwa biashara gani kwa hapa dar es salaam ni...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Habarini wana bodi! Tafadhalini rejea kichwa cha habari hapo juu. Hivi karibuni nimekutana na tathmini ya biashara moja ya kukoboa na kusaga mahindi iliyopo mkoa wa jirani na Dar inaonyesha kuwa...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
habari ndugu zangu jf,naomba mchango wenu wa mawazo mie nina laki saba tu ingawa ni pesa ndogo sana,ila nataka nizungushe inizalishie kidogo kidogo na nilifikili nijumue nguo kidogo hasa hizi jezi...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
jamani wana jamii sina hofu kwa msaada ntakaoupata kupitia forum hii wa kimawazo ili niondokane na changamoto inayonikabili kwa sasa. kwa kifupi iko hivi mm ni mwejeji wa mkoaX, nina ndugu wawili...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wakuu habari,siku zote naamini jf n sehemu yangu pekee ambapo naweza pata ushauri kwa asilimia 95%,naomba km hujui kuchangia kwa staha,nidhamu basi pita tu hapa,kuna biashara nimebuni ambayo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Please if there is any one who has a name and location of any budget hotel near air port in Dar he/she can assist me.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu wa JF, Naombeni mnisaidie mawazo wakuu, nina milioni 9 ninataka kufanya finishing ya "kiwango wa chini" ya kanyumba changu maeneo ya kibada ili nihamie. Nimeshaweka bati, gypsum na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Naam ndugu naomba mnipe mchanganuo wa milioni 20, je nifanye nayo biashara gani? Nb.kama huna cha kuchangia ni bora zaidi kuliko kuponda! NAWASILISHA!
0 Reactions
19 Replies
8K Views
Yoyote mwenye taarifa ambapo naweza kuanzisha biashara ya DUKA la vyakula reja reja M-PESA,tafadhali ani-PM
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Nina kamtaji kangu kama 5,000,000.00.Wabunifu wa biashara msaada wenu.Biashara ipi inalipa.Help please
0 Reactions
17 Replies
5K Views
Naomba ushauri labda sielewi vizuri somo. mimi nlidhani ili nipate mkopo niwe na businessplan,collateral, legal business, kuwa unalipa kodi, una business license etc. sasa kuna bank zingine...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Helo great thinkers.. plz saidia mimi kulikuwa na thread moja ndefu sana ya kuhusu ufugaji wa kuku za kisasa,... nimeitafuta sana sioni... SOmebody help plz
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Habari wakuu! Ninataka kusafirisha refurbished printer toka Marekani. Kwa wazoefu wanajua ilivyo shida ya kusafirisha vifurushi toka nchi za Ulaya na Marekani. Ninaomba kama unamfahamu mtu yeyote...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Greetings JF members and visitors, Attached are more details about the project. It is an open invitation to anyone who meets the mentioned criterias to apply. Regards, Kate M.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nahitaji business partner wa kufanya nae Biashara katika Fremu yangu iliyoko maeneo ya waterfront kuelekea stesheni. Kwa sasa nina eneo (Fremu), ila nimepungukiwa kidogo kiasi cha mtaji kwani...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Hello team,I hope this message will find you with good health,JDM Success.com is looking for business partners who will be interested in Health&Beauty Products,IT Accessories,Apple...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wapendwa habari za jioni. NATAMANI sana kuanzisha biashara ya kutengeneza viatu kwa kutumia ngozi ya hapa nchini mwetu, kama mjuavyohi nchi yetu ina mifugo mingi sana.NAOMBENI kwa wale wenye...
0 Reactions
8 Replies
11K Views
wakuu poleni na kazi za ujenzi wa taifa, mie ni mfanyabiashara wa kati,ninabiashara ya duka la nguo za watoto wa siku 1 na kuendelea za kike naza kiume.sijawahi kopa benk wala sacoci yoyote...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom